Samia apewe Tuzo kwa ukimya dhidi ya Polepole na Gwajima

Samia apewe Tuzo kwa ukimya dhidi ya Polepole na Gwajima

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Wakuu habari,

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Suluhu Hassan anastahili kupewa tuzo ya Rais mkimya na mwenye kiburi, asiyejali maoni na vuguvugu ya wananchi kuhusu usalama wa Taifa na uovu wa wanasiasa.

Ni muda sasa tangu Polepole na Gwajima waibuke wakielezea mifumo mibovu ya utawala, uminywaji wa haki na wizi unaondelea baina ya viongozi wa serikali. Lakini cha ajabu Rais Samia kila siku anahudhuria mikutano ya amani mara ziara za uzinduzi, sehemu anazopata nafasi na kuzungumza na wananchi lakini kaamua kukaa kimya bila kujali sintofahamu wanayopitia wananchi kwa hizi tuhuma na Polepole na Gwajima.

Kama Kiongozi wa nchi lazima utoe tamko kwa yanayoendelea tena utoe ufafanuzi, yeye yuko bize kuzindua miradi ambayo baadae atakuja kutumia kujinadi kwenye kampeni za uchaguzi, eti nimefanya hiki mbona anashindwa kujibu hoja za Polepole na Gwajima? ili tujue kweli yeye ndiye anaongoza nchi

Hii inadhihirisha huyu Samia yupo yupo kwenye uongozi kwa maslahi yake na ninashangaa sana wale wanaosema mitano tena kwa Samia, hivi mnataka nchi iuzwe kabisa ndo bongo zifunguke?

Watanzania tutafakari sana haya yanayoendelea na kuchukua hatua

1756116153534.png



1756116233173.png



1756116333216.png
 
Ukisikia mwanao anakutangaza mtaani kuwa wewe ni baba yake je utajitokeza mtaani kupinga anachokitangaza mwanao? au utavunga tu kwa kuwa ndio ukweli na inafahamika
 
na je anauwezo wa kujibu hoja za polepole na gwajima? kumuweka lissu ndani ni ili kuepuka changamoto ya kujielezea sana kwenye jukwaa, sasa fikilia lissu anakuita mwizi wazi wazi na ushahidi anatoa jukwaani je utaweza kubishana nae
 
Wakuu habari,

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Suluhu Hassan anastahili kupewa tuzo ya Rais mkimya na mwenye kiburi, asiyejali maoni na vuguvugu ya wananchi kuhusu usalama wa Taifa na uovu wa wanasiasa.

Ni muda sasa tangu Polepole na Gwajima waibuke wakielezea mifumo mibovu ya utawala, uminywaji wa haki na wizi unaondelea baina ya viongozi wa serikali. Lakini cha ajabu Rais Samia kila siku anahudhuria mikutano ya amani mara ziara za uzinduzi, sehemu anazopata nafasi na kuzungumza na wananchi lakini kaamua kukaa kimya bila kujali sintofahamu wanayopitia wananchi kwa hizi tuhuma na Polepole na Gwajima.

Kama Kiongozi wa nchi lazima utoe tamko kwa yanayoendelea tena utoe ufafanuzi, yeye yuko bize kuzindua miradi ambayo baadae atakuja kutumia kujinadi kwenye kampeni za uchaguzi, eti nimefanya hiki mbona anashindwa kujibu hoja za Polepole na Gwajima? ili tujue kweli yeye ndiye anaongoza nchi

Hii inadhihirisha huyu Samia yupo yupo kwenye uongozi kwa maslahi yake na ninashangaa sana wale wanaosema mitano tena kwa Samia, hivi mnataka nchi iuzwe kabisa ndo bongo zifunguke?

Watanzania tutafakari sana haya yanayoendelea na kuchukua hatua

Upuuzi tu.
 
Wakuu habari,

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Suluhu Hassan anastahili kupewa tuzo ya Rais mkimya na mwenye kiburi, asiyejali maoni na vuguvugu ya wananchi kuhusu usalama wa Taifa na uovu wa wanasiasa.

Ni muda sasa tangu Polepole na Gwajima waibuke wakielezea mifumo mibovu ya utawala, uminywaji wa haki na wizi unaondelea baina ya viongozi wa serikali. Lakini cha ajabu Rais Samia kila siku anahudhuria mikutano ya amani mara ziara za uzinduzi, sehemu anazopata nafasi na kuzungumza na wananchi lakini kaamua kukaa kimya bila kujali sintofahamu wanayopitia wananchi kwa hizi tuhuma na Polepole na Gwajima.

Kama Kiongozi wa nchi lazima utoe tamko kwa yanayoendelea tena utoe ufafanuzi, yeye yuko bize kuzindua miradi ambayo baadae atakuja kutumia kujinadi kwenye kampeni za uchaguzi, eti nimefanya hiki mbona anashindwa kujibu hoja za Polepole na Gwajima? ili tujue kweli yeye ndiye anaongoza nchi

Hii inadhihirisha huyu Samia yupo yupo kwenye uongozi kwa maslahi yake na ninashangaa sana wale wanaosema mitano tena kwa Samia, hivi mnataka nchi iuzwe kabisa ndo bongo zifunguke?

Watanzania tutafakari sana haya yanayoendelea na kuchukua hatua

viburi vya kimajini/kipepo

Aonywaye mara nyingi akashupaza shingo, shingo itavunjika ghafla na hatopata dawa
 
Inatufundisha kuwa Kuna mengine tukae kimya hata kama yanaumiza wakati ni tiba nzuri kwa Sasa jambo kuu ni uchaguzi ulioko mbele yetu
 
Wakuu habari,

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Suluhu Hassan anastahili kupewa tuzo ya Rais mkimya na mwenye kiburi, asiyejali maoni na vuguvugu ya wananchi kuhusu usalama wa Taifa na uovu wa wanasiasa.

Ni muda sasa tangu Polepole na Gwajima waibuke wakielezea mifumo mibovu ya utawala, uminywaji wa haki na wizi unaondelea baina ya viongozi wa serikali. Lakini cha ajabu Rais Samia kila siku anahudhuria mikutano ya amani mara ziara za uzinduzi, sehemu anazopata nafasi na kuzungumza na wananchi lakini kaamua kukaa kimya bila kujali sintofahamu wanayopitia wananchi kwa hizi tuhuma na Polepole na Gwajima.

Kama Kiongozi wa nchi lazima utoe tamko kwa yanayoendelea tena utoe ufafanuzi, yeye yuko bize kuzindua miradi ambayo baadae atakuja kutumia kujinadi kwenye kampeni za uchaguzi, eti nimefanya hiki mbona anashindwa kujibu hoja za Polepole na Gwajima? ili tujue kweli yeye ndiye anaongoza nchi

Hii inadhihirisha huyu Samia yupo yupo kwenye uongozi kwa maslahi yake na ninashangaa sana wale wanaosema mitano tena kwa Samia, hivi mnataka nchi iuzwe kabisa ndo bongo zifunguke?

Watanzania tutafakari sana haya yanayoendelea na kuchukua hatua

Ngoja nikachekee chooni
 
Hawezi kujibu ameona gharama zake ile kufunga kanisa ni move alioikosea kabisa
 
Wakuu habari,

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Suluhu Hassan anastahili kupewa tuzo ya Rais mkimya na mwenye kiburi, asiyejali maoni na vuguvugu ya wananchi kuhusu usalama wa Taifa na uovu wa wanasiasa.

Ni muda sasa tangu Polepole na Gwajima waibuke wakielezea mifumo mibovu ya utawala, uminywaji wa haki na wizi unaondelea baina ya viongozi wa serikali. Lakini cha ajabu Rais Samia kila siku anahudhuria mikutano ya amani mara ziara za uzinduzi, sehemu anazopata nafasi na kuzungumza na wananchi lakini kaamua kukaa kimya bila kujali sintofahamu wanayopitia wananchi kwa hizi tuhuma na Polepole na Gwajima.

Kama Kiongozi wa nchi lazima utoe tamko kwa yanayoendelea tena utoe ufafanuzi, yeye yuko bize kuzindua miradi ambayo baadae atakuja kutumia kujinadi kwenye kampeni za uchaguzi, eti nimefanya hiki mbona anashindwa kujibu hoja za Polepole na Gwajima? ili tujue kweli yeye ndiye anaongoza nchi

Hii inadhihirisha huyu Samia yupo yupo kwenye uongozi kwa maslahi yake na ninashangaa sana wale wanaosema mitano tena kwa Samia, hivi mnataka nchi iuzwe kabisa ndo bongo zifunguke?

Watanzania tutafakari sana haya yanayoendelea na kuchukua hatua

Tuzo kwa kukaa kimya! CCM mmeoza ubongo, au, umejaa makamasi,
Mi nafikiri apewe tuzo ya kufikisha Deni la Haifa tilioni 116.
 
Yani ajibu kuwa watu hawatekwi? Au akitekwa mtoto wake serekali itakaa kimyaa au ajibu ccm hawaibi kuraa?

Mleta mada wenzako wanatumia ubongo kufikiri sasa wewe unatumia kamasi kufikiri.
 
Wakuu habari,

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Suluhu Hassan anastahili kupewa tuzo ya Rais mkimya na mwenye kiburi, asiyejali maoni na vuguvugu ya wananchi kuhusu usalama wa Taifa na uovu wa wanasiasa.

Ni muda sasa tangu Polepole na Gwajima waibuke wakielezea mifumo mibovu ya utawala, uminywaji wa haki na wizi unaondelea baina ya viongozi wa serikali. Lakini cha ajabu Rais Samia kila siku anahudhuria mikutano ya amani mara ziara za uzinduzi, sehemu anazopata nafasi na kuzungumza na wananchi lakini kaamua kukaa kimya bila kujali sintofahamu wanayopitia wananchi kwa hizi tuhuma na Polepole na Gwajima.

Kama Kiongozi wa nchi lazima utoe tamko kwa yanayoendelea tena utoe ufafanuzi, yeye yuko bize kuzindua miradi ambayo baadae atakuja kutumia kujinadi kwenye kampeni za uchaguzi, eti nimefanya hiki mbona anashindwa kujibu hoja za Polepole na Gwajima? ili tujue kweli yeye ndiye anaongoza nchi

Hii inadhihirisha huyu Samia yupo yupo kwenye uongozi kwa maslahi yake na ninashangaa sana wale wanaosema mitano tena kwa Samia, hivi mnataka nchi iuzwe kabisa ndo bongo zifunguke?

Watanzania tutafakari sana haya yanayoendelea na kuchukua hatua


Bila ya kujisafisha na tuhuma za wizi wa chaguzi, kumbe uhalali wake anaupata wapi?

IMG_20240428_070927.jpg


Kuingilia mifumo ya uchaguzi ni Uhaini. Lissu anashtakiwa kwa niaba yetu kwa kufanya Uhaini na tunaopaswa kuwashitaki kwa Uhaini!
 
Wakuu habari,

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Suluhu Hassan anastahili kupewa tuzo ya Rais mkimya na mwenye kiburi, asiyejali maoni na vuguvugu ya wananchi kuhusu usalama wa Taifa na uovu wa wanasiasa.

Ni muda sasa tangu Polepole na Gwajima waibuke wakielezea mifumo mibovu ya utawala, uminywaji wa haki na wizi unaondelea baina ya viongozi wa serikali. Lakini cha ajabu Rais Samia kila siku anahudhuria mikutano ya amani mara ziara za uzinduzi, sehemu anazopata nafasi na kuzungumza na wananchi lakini kaamua kukaa kimya bila kujali sintofahamu wanayopitia wananchi kwa hizi tuhuma na Polepole na Gwajima.

Kama Kiongozi wa nchi lazima utoe tamko kwa yanayoendelea tena utoe ufafanuzi, yeye yuko bize kuzindua miradi ambayo baadae atakuja kutumia kujinadi kwenye kampeni za uchaguzi, eti nimefanya hiki mbona anashindwa kujibu hoja za Polepole na Gwajima? ili tujue kweli yeye ndiye anaongoza nchi

Hii inadhihirisha huyu Samia yupo yupo kwenye uongozi kwa maslahi yake na ninashangaa sana wale wanaosema mitano tena kwa Samia, hivi mnataka nchi iuzwe kabisa ndo bongo zifunguke?

Watanzania tutafakari sana haya yanayoendelea na kuchukua hatua


View: https://www.youtube.com/watch?v=QxGCtS90jn4
 
Back
Top Bottom