technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,553
- 57,843
Nashauri Samia apumzike apishe wengine wafanye kazi
Pia watu wake wa karibu wote WANATAKIWA kupumzika
Asipokubali atatoka kwa aibu
Ni ushauri anaweza kuuchukua au kuuacha ila aongee na nafsi yake pia aongee na Mungu wake
Asije kusema atukumwambia
Samia anayekwambia ukweli anakupenda Sana .
Miruzi mingi ya machawa inakupoteza Samia ........
Nitasema kweli daima uongo kwangu mwiko!
Tukiwaambia No reform no Election muwe mnaelewa!.
Pia watu wake wa karibu wote WANATAKIWA kupumzika
Asipokubali atatoka kwa aibu
Ni ushauri anaweza kuuchukua au kuuacha ila aongee na nafsi yake pia aongee na Mungu wake
Asije kusema atukumwambia
Samia anayekwambia ukweli anakupenda Sana .
Miruzi mingi ya machawa inakupoteza Samia ........
Nitasema kweli daima uongo kwangu mwiko!
Tukiwaambia No reform no Election muwe mnaelewa!.