Mwana kondoo 2025
JF-Expert Member
- Apr 6, 2025
- 495
- 580
mjadala huu ni nyeti ni vyema ukawasilishwa kwa heshima na adabu walio madarakani wataweza kuusikiliza kwa makini.
Hii imekaa vizuri sanaOparesheni ficha kitambulisho cha mpiga kura kwa wazazi itaokoa
Aachane na siasa aimbe taarabAmeikanyaga, ameidharau na kuinajisi katiba ya CCM na katiba ya Tanzania.
Amedharau wana-CCM na Watanzania wote kwa kujipitisha kibabe bila kufuata katiba zote mbii, taratibu, misingi, tamaduni.
Kazi ya kwanza ya Rais ni kufuata na kuilinda katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yeye anafanya exactly opposite.
Mkutano mkuu wa CCM unayo mamlaka na wajibu wa kuanzisha,kuondoa na kufanya maamuzi kuhusu jambo lolote.
Huelewi kitu uteuzi unaoongelewa hufanywa na tume ya Uchaguzi sio ChamaKwa kipimo chochote kitakachotumika, huyu ni mgombea haramu kwa mujibu wa katiba ya chama chake kwa sababu uteuzi wake ulifanywa na wahuni waliopangwa ndani ya chama.
Mkuu, kwanza elewa kuwa hata Mkutano Mkuu wa CCM hauko juu ya Katiba ya Chama, wala hauko juu ya kanuni, taratibu na demokrasia ya ndani ya chama. Ukiwa na uelewa sahihi wa katiba, hutapotosha watu kwa kujificha kwenye “kikao cha juu” kana kwamba huo ni uungu mtu. Hata Mkutano Mkuu UNAWAJIBIKA kuendesha shughuli zake kwa mujibu wa Katiba ya CCM ya mwaka 1977 (Toleo la 2020).Tatizo lako mleta mada una uelewa mdogo na wenzio waunga mkono hoja yako humu.
Huelewi kitu Mkutano mkuu ndio kikao cha juu kabisa cha maamuzi.Ndicho CEO au Raisi wa CCM
Maamuzi yake ni makubwa waweza amua hata kuvunja kamati kuu au Halmashauri kuu ya CCM
Maamuzi yao sio lazima yayegemee vikao vya chini .Iwe Halmashauri kuu au kamati kuu au matawi.
Waweza kuja na agenda wenyewe bila kupokea mapendekezo toka kikao chochote cha chini
Wengine wanauliza Agenda ya kumpendekeza Samia kuwa mgombea ilitoka wapi? Ilitoka kwenye mengineyo
Kikao chochote huwa na agenda mbalimbali .Agenda mojawapo ni ya Mengineyo
Ndipo Kikwete akatoa pendekezo sio amri kuwa Samia awe Mgombea uraisi pekee Wa CCM. Mkutano mkuu ukaridhia ambacho ndicho kikao cha juu ambacho huridhia wagombea
Baada ya mkutano mkuu kuridhia hahitaji tena kujaza fomu .Kaombwa na mkutano mkuu hajajipendeleza.Kujaza fomu ni pale mtu anajipendekeza ili huko mbele mkutano mkuu uridhie.
Yeye kaombwa na mkutano mkuu ambao ndio chombo kikubwa cha mwisho kwenye maamuzi ya Chochote cha CCM.
mkutano mkuu Waweza ibuka na hoja zao mpya sio lazima wapelekewe na vikao vya chini au majina ya wagombea wapelekewe na vikao vya chini.Mkutano mkuu haauwajibiki kwa vikao vya chini iwe Halmashauri kuu au kamati kuu.Waweza fanya maamuzi mapya wenyewe.Na yako halali kikatiba na kisheria popote.Hata mtu aende mahakamani kupinga atashindwa
Hivyo vifomu vyako havimhusu mtu ambaye kaombwa na mkutano mkuu
Kikao cha juu kabisa kiliamua awe Samia wamemaliza kazi
(b) Kuchagua jina moja la mwanachama atakayesimama katika uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.""Mkutano Mkuu wa Taifa utashughulikia:
"Demokrasia ya kweli ndani ya Chama ni msingi wa maamuzi yote, na itazingatia uhuru wa kila mwanachama kushiriki katika uteuzi, uchaguzi na maamuzi ya chama."
"Mahakama kuu ya Tanzania ndiyo yenye mamlaka ya mwisho ya kuamua haki na usawa mbele ya sheria kwa kila mtu."
AiseeTatizo lako mleta mada una uelewa mdogo na wenzio waunga mkono hoja yako humu.
Huelewi kitu Mkutano mkuu ndio kikao cha juu kabisa cha maamuzi.Ndicho CEO au Raisi wa CCM
Maamuzi yake ni makubwa waweza amua hata kuvunja kamati kuu au Halmashauri kuu ya CCM
Maamuzi yao sio lazima yayegemee vikao vya chini .Iwe Halmashauri kuu au kamati kuu au matawi.
Waweza kuja na agenda wenyewe bila kupokea mapendekezo toka kikao chochote cha chini
Wengine wanauliza Agenda ya kumpendekeza Samia kuwa mgombea ilitoka wapi? Ilitoka kwenye mengineyo
Kikao chochote huwa na agenda mbalimbali .Agenda mojawapo ni ya Mengineyo
Ndipo Kikwete akatoa pendekezo sio amri kuwa Samia awe Mgombea uraisi pekee Wa CCM. Mkutano mkuu ukaridhia ambacho ndicho kikao cha juu ambacho huridhia wagombea
Baada ya mkutano mkuu kuridhia hahitaji tena kujaza fomu .Kaombwa na mkutano mkuu hajajipendeleza.Kujaza fomu ni pale mtu anajipendekeza ili huko mbele mkutano mkuu uridhie.
Yeye kaombwa na mkutano mkuu ambao ndio chombo kikubwa cha mwisho kwenye maamuzi ya Chochote cha CCM.
mkutano mkuu Waweza ibuka na hoja zao mpya sio lazima wapelekewe na vikao vya chini au majina ya wagombea wapelekewe na vikao vya chini.Mkutano mkuu haauwajibiki kwa vikao vya chini iwe Halmashauri kuu au kamati kuu.Waweza fanya maamuzi mapya wenyewe.Na yako halali kikatiba na kisheria popote.Hata mtu aende mahakamani kupinga atashindwa
Hivyo vifomu vyako havimhusu mtu ambaye kaombwa na mkutano mkuu
Kikao cha juu kabisa kiliamua awe Samia wamemaliza kazi
Ndicho walichofanya mkutano mkuu wamechagua jina moja limependekezwa la Samia na hapo hapo mkutanoni na wakachagua jina hilo hilo1. Katiba ya CCM – Ibara ya 100 (5)(b):
(b) Kuchagua jina moja la mwanachama atakayesimama katika uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania."
Umeeleza mengi kifupi kukusaidia labda wewe na wenzio siku zijazo muombe katiba ya CCM iliyopo ibadilishwe kuwa mkutano mkuu iwe lazima ufuate mapendekezo ya Chini.Hii ya katiba ya sasa haina hicho kipengele cha kulazimisha Mkutano mkuu.Mkuu, kwanza elewa kuwa hata Mkutano Mkuu wa CCM hauko juu ya Katiba ya Chama, wala hauko juu ya kanuni, taratibu na demokrasia ya ndani ya chama. Ukiwa na uelewa sahihi wa katiba, hutapotosha watu kwa kujificha kwenye “kikao cha juu” kana kwamba huo ni uungu mtu. Hata Mkutano Mkuu UNAWAJIBIKA kuendesha shughuli zake kwa mujibu wa Katiba ya CCM ya mwaka 1977 (Toleo la 2020).
1. Katiba ya CCM – Ibara ya 100 (5)(b):
(b) Kuchagua jina moja la mwanachama atakayesimama katika uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania."
👉 Hapa tafsiri ni wazi: Mkutano Mkuu hauteui kwa pendekezo la mtu mmoja (hata kama ni Kikwete). Unachagua jina MOJA kutoka miongoni mwa waliopendekezwa au walioomba kwa kufuata utaratibu wa ndani.
2. Ibara ya 6(7)(b) ya Katiba ya CCM:
👉 Samia kupitishwa bila mchakato wa kidemokrasia wa kuchukua fomu ni kuvunja ibara hii. Kama demokrasia ya kweli ndani ya chama inaruhusu mwanachama kugombea, ni lazima kuwe na mchakato wa wazi.
3. Ibara ya 107A(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977):
👉 Hii inaonyesha kuwa hata maamuzi ya chama, yakikandamiza haki za watu au kuvunja mchakato wa wazi wa demokrasia, yanaweza kupingwa kikatiba na kisheria.
Sasa kuhusu hiyo "Agenda ya Mengineyo" aliyotaja:
Huwezi kupitisha mgombea wa nafasi ya juu kabisa kwa "mengineyo" kana kwamba ni ajenda ya kubadilisha menu ya chakula. Katiba haifanyi utani. "Mengineyo" ni ajenda ya dharura au nyepesi – siyo ya kumtangaza mgombea wa urais wa taifa. Hiyo ni mizaha ya kimfumo.
Hoja ya Mwisho: Mkutano Mkuu siyo mungu-mtu
👉 Kama mkutano mkuu unaweza kutangaza mtu kuwa mgombea bila kufuata mchakato wa ndani, basi chama hakina tena katiba – bali kina mapenzi ya viongozi.
👉 Hili ndilo lililofanyika kwa Samia – hakuchukua fomu, hakushindanishwa, hakuhojiwa – alipelekewa jina la “mgombea pekee” kwa staili ya kifalme, na wakaitwa wanachama wakashangilia tu kama tambiko la kichama.
"Unapodhani Mkutano Mkuu ni kama soko la samaki linaloweza kutangaza bei bila mizani, ujue uko mbali na demokrasia. Hata chombo cha juu lazima kitii katiba. Maamuzi bila utaratibu ni siasa za utumbo. CCM haikuanzishwa kwa maneno ya Kikwete bali kwa misingi ya haki, usawa na demokrasia. Ukiigeuza Katiba kuwa leso ya kufutia midomo ya vigogo, usilalamike taifa likihama kwenye demokrasia kwenda kwenye ‘demogodfather’.”
Hivi unajua hata maana ya ‘chaguzi huru na haki’ au ulizaliwa kwenye kura ya ndiyo mzee?🤣🤣🤣Ndicho walichofanya mkutano mkuu wamechagua jina moja limependekezwa la Samia na hapo hapo mkutanoni na wakachagua jina hilo hilo
Hoja hauna Mkuu 🤣🤣🤣Umeeleza mengi kifupi kukusaidia labda wewe na wenzio siku zijazo muombe katiba ya CCM iliyopo ibadilishwe kuwa mkutano mkuu iwe lazima ufuate mapendekezo ya Chini.Hii ya sasa haina hicho kipengele cha kulazimisha Mkutano mkuu.
kwa sasa mkutano mkuu ndio final say na maamuzi yake ni ya mwisho
Kura ziko aina nyingi CCM hata Chadema hata bungeni nk kuna kura za kuandika na za kutamka kusema ndiyo au hapanaHivi unajua hata maana ya ‘chaguzi huru na haki’ au ulizaliwa kwenye kura ya ndiyo mzee?🤣🤣🤣
Rudi kajifunze au baki na ujinga wako akilini mwako. Usiwe unauanika hadharani humu.Kura ziko aina nyingi CCM hata Chadema hata bungeni nk kuna kura za kuandika na za kutamka kusema ndiyo au hapana
Mkutano mkuu ukitumia kura kusema ndiyoooo kwa Samia
Katiba ya CCM au ya nchi ukisoma unatakiwa uwe msomi ambaye ulisoma kuelewa sio kukariri upate marks na ka degree au ka certificateRudi kajifunze au baki na ujinga wako akilini mwako. Usiwe unauanika hadharani humu.
Huwa tunasoma amelaaniwa mtu yule anayejipendekeza. Mungu kakupa akili ya kutambua lililo sahihi na lisilo sahihi. Hata kama ni MWANACCM kuna mambo mengine sio ya kuyatetea. Hoja zangu umeshindwa kuzijibu.
Mkuu kuwa huru kimawazo kuliko kuwa mfungwa wa kifikra halafu unakuja humu unatuandikia utoto as if tuna tegemea hisani ya watu fulani tuendeshe maisha yetu.
Hata yale yanayovunja katiba ya nchi? Kama ndivyo mkutano mkuu wa ccm upo juu ya katiba ya nchi? Hacheni porojo kwenye mambo ya msingi.Mkutano mkuu wa CCM unayo mamlaka na wajibu wa kuanzisha,kuondoa na kufanya maamuzi kuhusu jambo lolote.
Unapodhani Mkutano Mkuu ni kama soko la samaki linaloweza kutangaza bei bila mizani, ujue uko mbali na demokrasia. Hata chombo cha juu lazima kitii katiba. Maamuzi bila utaratibu ni siasa za utumbo. CCM haikuanzishwa kwa maneno ya Kikwete bali kwa misingi ya haki, usawa na demokrasia. Ukiigeuza Katiba kuwa leso ya kufutia midomo ya vigogo, usilalamike taifa likihama kwenye demokrasia kwenda kwenye ‘demogodfather’.”Katiba ya CCM au ya nchi ukisoma unatakiwa uwe msomi ambaye ulisoma kuelewa sio kukariri upate marks na ka degree au ka certificate
Ndio maana uelewa wako mdogo
NAshukuru kwa ushauri. Ngoja nimwombe moderator arekebishe.Ukiandika Samia:
Inamaana ni Nukuu ya alichosema Samia,
Boresha uandishi wako