Kwa kipimo chochote kitakachotumika, huyu ni mgombea haramu kwa mujibu wa katiba ya chama chake kwa sababu uteuzi wake ulifanywa na wahuni waliopangwa ndani ya chama.
Huyu ni mgombea haramu kwa katiba ya nchi inayotamka wazi kuwa wagombea wa nafasi ya Urais watateuliwa na vyama vyao baada ya kuvunjwa kwa Bunge.
Huyu ni mgombea haramu kwa sheria inayozuia utoaji rushwa kwa wapiga kura. Huyu mtu akiwa tayari amejirangaza kuwa ni mgombea, ameendelea kugawa rushwa nchi nzima kwa wapiga kura.
Hata kama atalazimisha kwa kutumia dola, lakini hilo halitaondoa uharamu wake kwenye nafasi hiyo kwa sababu njia yake ya kufikia nafasi hiyo imejaa uharamu mtupu. Kilicho haramu kwa nchi, ni adui kwa taifa zima.
Chama kina nafasi ya kuondoa kumbukumbu hii mbaya katika historia yake, kwamba iliwahi kuwapelekea wapiga kura mgombea ambaye alidharau na kukiuka taratibu zote ndani ta chama na nchi kwa ujumla kwa usaidizi wa wahuni wachache.
MODERATOR, naomba urekebishe Heading isomeke:
Rais Samia Atambue Kuwa Aliyepitia Njia ....
Huyu ni mgombea haramu kwa katiba ya nchi inayotamka wazi kuwa wagombea wa nafasi ya Urais watateuliwa na vyama vyao baada ya kuvunjwa kwa Bunge.
Huyu ni mgombea haramu kwa sheria inayozuia utoaji rushwa kwa wapiga kura. Huyu mtu akiwa tayari amejirangaza kuwa ni mgombea, ameendelea kugawa rushwa nchi nzima kwa wapiga kura.
Hata kama atalazimisha kwa kutumia dola, lakini hilo halitaondoa uharamu wake kwenye nafasi hiyo kwa sababu njia yake ya kufikia nafasi hiyo imejaa uharamu mtupu. Kilicho haramu kwa nchi, ni adui kwa taifa zima.
Chama kina nafasi ya kuondoa kumbukumbu hii mbaya katika historia yake, kwamba iliwahi kuwapelekea wapiga kura mgombea ambaye alidharau na kukiuka taratibu zote ndani ta chama na nchi kwa ujumla kwa usaidizi wa wahuni wachache.
MODERATOR, naomba urekebishe Heading isomeke:
Rais Samia Atambue Kuwa Aliyepitia Njia ....