Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 17,139
- 24,561
ukiona raisi wa nchi anakwepa kusafiri ujue huyo ni juha fulani hivi,Wewe Kinoamiguu !
Usidhani humu woote ni wajinga wasiojitambua!
Pia uelewe nchi hii inao watu zaidi ya milioni 60 kwa sasa!
Pia uelewe!
Mimi sio mtoto!
Kama ni utoto,basi ni ule utoto wa "Mungu",ambae sisi sote ni watoto wake!
Kinoamiguu!
Pia uelewe kwamba...Maendeleo ya Taifa hayatokani na Safari lukuki za Kuombaomba misaada!
Pia Maendeleo ya nchi hayaletwi na Rais kubaki nchini bila kusafiri.
Bali!
Maendeo ni dhana pana inayotumika kwa viongozi, wanajamii, wanaharakati, ikiwahusisha wataalamu ili kuboresha maisha ya wanajamii pamoja na kutengeneza jamii iliyo bora.
Maendeleo ya jamii huelezewa kama fani ya kitaalamu na hufafanuliwa zaidi na jumuia za kimataifa kama Taaluma inayokuza demokrasia shirikishi, Maendeleo endelevu, haki, nafasi za kiuchumi, usawa, kuiwezesha jamii kimaslahi, kutambua hali za kimaisha na kielimu.
Maendeleo ya jamii husaidia kuwawezesha mtu mmojammoja na vikundi vya kijamii wenye mahitaji ya kuleta mabadiliko katika jamii zao. Maarifa hayo mara nyingi hufanyika kwa watu kupewa ujuzi na kuunda vikundi vitakavyokuwa na kazi na ajenda maalumu. Maafisa maendeleo ni lazima waelewe namna gani ya kufanya kazi zitakazoleta mabadiliko kulingana na mahitaji ya jamii na wakati husika.
Kwa hiyo,ni wajibu wetu kila mtanzania kupaza sauti pale tunapoona kundi moja dogo likitupeleka ndivyo sivyo.
Tusiposema sisi!,Nani atatusemea?
Tusiposema Leo!
Lini tutasema?
Tusipowaambia Live!,Lini mtaelewa kwamba tumechoka kudanganyika?
Ewe Kinoamiguu ....
Nimekuchukulia kama Empty Skull Minded mwingine toka rundo lenu mliojazana Lumbumba,mkitumika kama ma-DODOKI ya kusafishia Mafisadi.
View attachment 2425034
kukopa na kuomba misaada kwa nchi halijawahi kuwa kosa. kama ni kosa twambie ni lini Tanzania ilijitegemea na kuacha kuombaomba?
mm napita lumumba kama mpita njia mwingine tu. sawa na wewe ulivyo mtoto wa mungu kama wengine
jifunze kuwa OBJECTIVE itakusaidia kujenga hoja. jua pia namna ya uandishi bora ili ueleweke unaeleza nini hasa
kuna mahusiano gani kati ya ajali ya precision na uongozi wa ikulu ya magogoni? uliandika waraka mreeefu hapa bila kufanya tafakur at nawe ni GT?
mm siyo mwana Lumumba pole.