We sema2 unataka ka umaarufu humu JF. Hoja Zitto hapa 2shazichoka na hatuzitaki. Naomba atakayesoma reply yangu ampuuze mleta hoja na asicomment chochote, ili mwisho kapost kake kawe mbali kwenye page na kukaweka front page niku2potezea muda wa kukasoma haka kapost. Mods hubu ka2pien kwenye dustbin.
Wazee mbona muna hasira? Mbona hatukusikia haya mlipo mpokea Prof. Safari? Akihamia poa, akihama noma? Acheni hizo!Hana lolote.Chama hakijengwi na mtu,chama kinajengwa na fikra pevuko za watu.Msomi mwenzangu Shitambala ameshapoteza dira.....hafai hata kuwa Katibu Kata.Huruma kweli!
Nyamgluu, nadhani sio wewe tuu ambaye amekuwa hamwelewi Zitto, wengi tuu wanashindwa kumwelewa, kwa sababu unahitaji kuwa na kichwa cha level fulani ya uelewa kuweza kumwelewa huyu jamaa Zitto!.Sitaweza ku post link kwasababu na-post via mobile. Atakayeweza kuweka na aweke.
Tanzania Daima leo imemnukuu Zitto akisema Shitambala kajiua kisiasa kwa kujiunga kwenye chama (CCM) kinachokufa!
I can confidently claim this is his boldest statement in a loooong time. Why now Zitto?
Inanifanya nifikiri kua kweli ulianza uswahiba na mafisadi sasa umeona wanaporomoka ndio warudi nyumbani kama mwana mpotevu?
Sikushutumu maana sina ushahidi, ila i'm tryin to put 1 and 1 together.
.............................Bw. Shitambala alisema kuwa kutokana na kuwa mpiganaji na msomi wa sheria alishangaa kuona viongozi hao ambao wengi wao ameshiriki kuwapa ubunge wakigeuza ajenda na kuamua kuanzisha maandamano nchi nzima na kutoka nje bungeni wakati Rais Kikwete akihutubia hali ambayo alisema ni utovu mkubwa wa nidhamu.[/COLOR][/SIZE][/FONT]
"Hatukukubaliana kufanya maandamano ya kuvunja amani wala hatukuwatuma waende wakatoke bungeni na kisha kurudi ukumbini kwa kujadili hotuba ya rais, nawaambia ndugu zangu hii ni sababu kubwa iliyonifanya nikaamua kuondoka katika chama hicho.
Alisema kuwa CHADEMA ni chama chenye watu wasioweza kufikiri kwa haraka kutokana na ukweli kuwa Watanzania wanazo akili za kutosha kujitambua na kutoyumbishwa wala kuamuliwa juu ya amani ya nchi yao.
Kuandika kwa vifupisho humu kunakera! Unaokoa muda gani kuandika 2 badala ya 'tu' ? Hayo mambo ya facebook na sms za cellular phones si ya kuyapeleka popote. Changia hoja, andika neno zima lote, hakuna haraka hapa!
Wana jf naomba kuwauliza kwanini zitto?kila napoona thread ya mtu aki comment postive kuhusu zitto watu wanakashifu na kumkosea heshima?
Naamini na nitaendelea kuamini hivi - heshima kubwa iliyo nayo cdm mbele ya watanzania kwa mchango mkubwa ni kwa ajili ya zitto, wangapi mlikuwa wanachama au mashabiki wa cdm kabla ya zitto kuwasha moto katika bunge la tisa?wangapi mlikuwa mnaikubali cdm kabla ya zitto kuonyesha msimamo thabiti mpaka kufukuzwa bungeni katika kashafa ya buzwagi? Hebu kuweni waungwana na mpeni heshima yake jamani
wengi mnamuona zitto mbaya toka alipotaka kugombea uenyekiti wa cdm , ila si ametumia haki yake ya kikatiba ya kuchagua na kuchaguliwa?mnamuona mbaya pale anapotofautiana mitazamo na baadhi yetu- ila mitazamo tofauti daima ni manufaa ya chama kama daima mnakubaliana hamuwezi kuwa na jipya
Nyamgluu, nadhani sio wewe tuu ambaye amekuwa hamwelewi Zitto, wengi tuu wanashindwa kumwelewe, kwa sababu unahitaji kuwa na kichwa cha level fulani kumwelewa huyu jamaa.
Mhe. Zitto, jishushe zaidi ili ufikie level ya kueleweka na sisi wanachi wa kawaida wakiwemo wale wachuuzi wa pale Ferri!.
Nyamgluu, nadhani sio wewe tuu ambaye amekuwa hamwelewi Zitto, wengi tuu wanashindwa kumwelewe, kwa sababu unahitaji kuwa na kichwa cha level fulani kumwelewa huyu jamaa.
Mhe. Zitto, jishushe zaidi ili ufikie level ya kueleweka na sisi wanachi wa kawaida wakiwemo wale wachuuzi wa pale Ferri!.