Hawa ndio viongozi uchwara. Uchoyo (selfishness) tu! Watu wote walio CDM, na wanaoiunga mkono, bado anatokea mtu anadiriki kusema yeye ndio aliyoijenga CDM, kwa mikono yake mwenyewe! What a selfish attitude! Halafu kibaya zaidi waandishi wa habari wanaandika tu bila kumuuliza afafanue aliijenga je CDM kwa mikono yake. Wnagemuuliza, au wangetafuta wenyewe, aliingia lini CDM - 1992? au kabla? Au lini?