CCM NI CHAMA PEKEE KILICHOBEBA MWENYEKITI ALIYEKO MADARAKANI WA CHAMA KINGINE....mbinu na mikakati yake ipo hatua nyingi mbele ya wapinzania wake
Anajiandaa kumnyang'anya Ubunge Sugu 2015.
Shitambara ameiona NGUVU ya UMMA aachwa akisikilizwa na wana CCM wenye mashingingi ,ikiwa kwenye mkutano Uyole alikuwa akisikilizwa na wanachi nadhani wana CCM wachache pemeni kukiwa na wanachadema na bendera zao wakizipeperusha huku wakisikiliza alivyosema tuu jumamosi musihudhurie kwenye maandamano yaliyoitishwa na Chadema akashangaa hicho kikundi kidogo kilichokuwa kikimsikiliza wakiondoka mmoja baada ya mmoja saa hizi kabaki na wale wenye mashangingi na FFU na vinq'ola vinaingia jamani wanachi sio wakuchezea kwa kweli
Shitambara ameiona NGUVU ya UMMA aachwa akisikilizwa na wana CCM wenye mashingingi ,ikiwa kwenye mkutano Uyole alikuwa akisikilizwa na wanachi nadhani wana CCM wachache pemeni kukiwa na wanachadema na bendera zao wakizipeperusha huku wakisikiliza alivyosema tuu jumamosi musihudhurie kwenye maandamano yaliyoitishwa na Chadema akashangaa hicho kikundi kidogo kilichokuwa kikimsikiliza wakiondoka mmoja baada ya mmoja saa hizi kabaki na wale wenye mashangingi na FFU na vinq'ola vinaingia jamani wanachi sio wakuchezea kwa kweli
hata akazikiri uchi kipindi chote kilichobaki kufikia uchaguzi mkuu wa 2015 hawezi kupata hiyo nafasi...........!!!!!