rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,106
- 18,713
Inawezekana kweli hujawahi kukutana na vitu kama hivyo, njoo ujionee mwenyewe utakubaliana na hiyo bei
Mdf milango miwili laki 6 hapana asanteRubiikimimi

Inawezekana kweli hujawahi kukutana na vitu kama hivyo, njoo ujionee mwenyewe utakubaliana na hiyo bei
Mdf milango miwili laki 6 hapana asante
Mbona unamkatisha tamaa![]()
Mdf milango miwili laki 6 hapana asante
Rubiikimimi![]()

Sambusa zanyama zikijaza 2doors za kabati basi bei ya laki6 itakua sahihiNilishayaona, lakin nlivoona post yako ya sambusa n nyama kuhusiana n kabat tulizoziona... Then nkajaribu kucompare io avatar n post uloitoa nkapata jibu kuwa haviendan kbsa.... Ndo nkakuuliza io avatar kam ni real ww
Sent using Jamii Forums mobile app

HahahahahaaaKabati la milango miwili laki6??
Linakuja na sambusa za nyama ndani?
Ndiyo, pamoja na usingizi unapewa.
MBFH20MBF + H2O = ?
We mleta mada itakua ulidanganywa kuhusu jamiiforums, uliambiwa members wote ni millionaires ndo maana unakuja na bei za ajabu ajabu.
We maisha ya kibongo ninunue kitanda laki 9? Au hujui bidhaa zako unamlenga mteja gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfanya biashara haogopi audience wewe, kama huna hela piga kimya, unafikiri biashara nimeanza leo? Umeambiwa huku jf wote mko sawa? Kuna watu wana hela hawajui vitu vizuri wanavipata wapi!! Mimi natangaza, una hela nunua, huna kausha!!
mnatumia mbao za mti gani, kwenye kutengeneza kitandaKitanda bei ni kuanzia 900,000/- na kuendelea inategemea na design
mninga, kitanda cha 7/6 sh ngapi!Mkongo, mninga, podo, MDF zote hizi zinatumika
mninga, kitanda cha 7/6 au 8/6 sh ngapi!Mkongo, mninga, podo, MDF zote hizi zinatumika