Samani za majumbani, na ofisini

Samani za majumbani, na ofisini

kiipwi

Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
66
Reaction score
22
Jipatie samani za majumbani za kisasa na za kupendezwa zinazotengenezwa hapahapa nchini Tanzania na wajasiriamali wazalendo Baez Enterprises, tunapatikana pia katika mitandao ya kijamii Instagram @baez_ent, Facebook @Baez Enterprises na simu 0714767850 au 0717660670

4ab3d7abc428c1c555119ceae93a2a15.jpg
IMG_0023.jpg
 
Tatizo la makabati ya Bongo kule nyuma wanaweka plywood ambayo inakatika mapema hata kwenye kubeba
 
Kabati ni balaa. Mamilioni mangapi hizo kabati

Mrs Van
 
Bila kuweka bei ni saw a na kupoteza muda wako bure, WEKA BEI KILA MTU AJIPIME ACHAGUE ATAKACHO AKIJA NI KULIPA NA KUBEBA NA SIO LONGO LONHO. AU WEWE NI DALALI? Kwanini huweki bei?

Nimekupata mkulu, uko makini.. Makinika!!
 
Kwa kabati, bei ni kulingana na idadi ya milango..
@300,000/- yaani kwa kabati ya milango miwili itakuwa 600,000/-
Bei inapungua milango ikiwa mingi
 
Kitanda bei ni kuanzia 900,000/- na kuendelea inategemea na design
 
Kabati ni balaa. Mamilioni mangapi hizo kabati

Mrs Van

Kwa kabati, bei ni kulingana na idadi ya milango..
@300,000/- yaani kwa kabati ya milango miwili itakuwa 600,000/-
Bei inapungua milango ikiwa mingi
 
Back
Top Bottom