ni rahisi unaweza kuwasafisha hadi huko kwenye mifuko special ya plastick
Jamaa umenikumbusha mbali saana!! enzi tuna kata vioo kwa moto na malailoni ili tutengeneze gleram za vioo na siment!!
nimefuga saana samaki na umenishawishi nianze tena!!
Ebu niambi laki 1 itatosha kweram na na samaki wangapi wa kuanzia aina tofauti, ila Red na Zebra wasikose!!
Vipi msosi wao bado ni biscuit na kiini cha yai au Now mpo ki sasa zaidi???
Yani lazima nimchukulie dogo langu.. nilinunua pale mataa ubungo kufika home wote wakafa. Ila vipi mkuu mimi bado umeme sijavuta wanaweza kuishi bila ya taa? Sina uzoefu nao
karibu wateja wangu
Nimewaona mara nyingi mahali lakini sifahamu wanatolewa wapi..........Ni baharini, ziwani au mitoni.
Halafu mkuu wanapozaliana hakuna option ya kuwala?