Samaki wa ajabu

impongo

JF-Expert Member
Feb 18, 2015
8,733
7,610
Tttt
 

Attachments

  • FB_IMG_15603438080306111.jpeg
    FB_IMG_15603438080306111.jpeg
    18.5 KB · Views: 65
  • FB_IMG_15603437985091872.jpeg
    FB_IMG_15603437985091872.jpeg
    5.8 KB · Views: 79
  • FB_IMG_15603437841791915.jpeg
    FB_IMG_15603437841791915.jpeg
    7.5 KB · Views: 81
  • FB_IMG_15603437911301112.jpeg
    FB_IMG_15603437911301112.jpeg
    7.9 KB · Views: 73
Kuna samaki anaitwa Beluga ni jamii ya Nyangumi yeye ana muonekano wa hivyo huyo sijawahi kumwona. Inasemekana anatunza hewa kupitia sehemu ya mbele ya kichwa chake na ana uwezo wa kuitoa na akabaki sawa.

Beluga, ni jamii ya nyangumi wenye uwezo wa kuogelea pia kwa kurudi nyuma....
 
Kuna samaki anaitwa Beluga ni jamii ya Nyangumi yeye ana muonekano wa hivyo huyo sijawahi kumwona. Inasemekana anatunza hewa kupitia sehemu ya mbele ya kichwa chake na ana uwezo wa kuitoa na akabaki sawa.

Beluga, ni jamii ya nyangumi wenye uwezo wa kuogelea pia kwa kurudi nyuma....
Woooh.....baharini Kuna Mambo Sana
 
Kuna samaki anaitwa Beluga ni jamii ya Nyangumi yeye ana muonekano wa hivyo huyo sijawahi kumwona. Inasemekana anatunza hewa kupitia sehemu ya mbele ya kichwa chake na ana uwezo wa kuitoa na akabaki sawa.

Beluga, ni jamii ya nyangumi wenye uwezo wa kuogelea pia kwa kurudi nyuma....
Beluga nilijua ni kampuni ya ndege za mizigo
 
Back
Top Bottom