Woooh.....baharini Kuna Mambo SanaKuna samaki anaitwa Beluga ni jamii ya Nyangumi yeye ana muonekano wa hivyo huyo sijawahi kumwona. Inasemekana anatunza hewa kupitia sehemu ya mbele ya kichwa chake na ana uwezo wa kuitoa na akabaki sawa.
Beluga, ni jamii ya nyangumi wenye uwezo wa kuogelea pia kwa kurudi nyuma....
Nishawahi kumwona mmoja mitaa ile.Wavi hivi katika soko la kimataifa la feri wapo?
Beluga nilijua ni kampuni ya ndege za mizigoKuna samaki anaitwa Beluga ni jamii ya Nyangumi yeye ana muonekano wa hivyo huyo sijawahi kumwona. Inasemekana anatunza hewa kupitia sehemu ya mbele ya kichwa chake na ana uwezo wa kuitoa na akabaki sawa.
Beluga, ni jamii ya nyangumi wenye uwezo wa kuogelea pia kwa kurudi nyuma....
Baada ya kusoma hii komenti yangu umejua pia ni samaki (nyangumi)Beluga nilijua ni kampuni ya ndege za mizigo
Kwakweli uongozi ni jalala kila mtu anakuchafua
Yupo mmoja tu huyo na specie yenyewe inapotea kama mbwa mwitu vileWavi hivi katika soko la kimataifa la feri wapo?