Samaki wamekuwa kama bangi, wanauziana kwa kufahamianaAhahahaaaaa unaishi karibu na ziwa ila unapigwa marufuku kula samaki, kuleni michicha muongeze damu
Duh hatariKabla haujakumbwa na hizi kadhia zinazoendelea waweza fikiri ni maigizo tu yanafanyika, lakini ndio hali halisi ilivyo..
Watu wanalegezwa viwiko & magoti pasipo huruma kabisa...
Samaki si samaki tena, wamebandikwa majina mengi mengi (mf. Waxi..Vitenge)....Ukisikia mzigo mpya wa waxi umeingia, wenyeji wanajiongeza.....