Samaki Samaki Mbezi Beach inaungua

Samaki Samaki Mbezi Beach inaungua

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2010
Posts
7,263
Reaction score
684
WanajV

Kutoka mbezi beach hapa naona samaki samaki inaungua moto ni mkali

Nipo eneo la tukio ningewawekea picha lakini simu yangu ya mchina
Moto unawaka kuelekea Shekinah garden

Nitatuma picha soon








Askari wa Kikosi cha Zimamoto wakiendelea kuzima moto ulioteketeza baa ya Samaki Samaki iliyopo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
Mwananchi akichukua baadhi ya matukio wakati moto ukiteketeza baa ya Samaki Samaki.


s4.PNG

Mwananchi akichukua baadhi ya matukio wakati moto ukiteketeza baa ya Samaki Samaki.






Zimamoto wakitafakari jinsi ya kuzima moto huo.



Zimamoto wakizima moto katika gereji ya Xenco iliyopo jirani na baa iliyoteketea.






Wananchi wakishuhudia zoezi la uzimaji moto katika baa ya Samaki Samaki.



 
Toba.! Alikata bima kweli yule mzungu mswahili! Poleni waathirika wote.
 
Kikosi cha zima moto cha wizara ya mambo ya ndani hawajafika bado!?
 
Uwanja wangu huo nitajificha wapi tena maana huko mabishoo walikuwa wanakimbilia Mlimani city!Ohoo jamani!
 
Itabidi watu waache kupaua kwa makuti.
 
sasa ww mtoa taarifa uko kwenye eneo la tukio lakini umeshindwa kutueleza chanzo cha moto huo ni nini? Hata mie nimepita na gari nimeona au niseme tu nimeona bomoa bomoa ya magufuli uwenda lile greda limegusa waya za umeme ikasababisha shoti ni mawazo yangu
 
kuna bomoa bomoa kupitisha bomba la maji tangia jana,sasa ili la moto sijui umetokana nani.
 
Nimepita hapo ni kweli pameungua na bado zimamoto wanaendelea kuzima moto huo

My take:Kuna bomoa bomoa ya Magufuli inaendelea mitaa hiyo na kinachoonekana ni kwamba hawafanyi precautions zozote kama kuwataarifu TANESCO wakate umeme n.k.Hivyo inawezekana tatizo ni itilafu ya umeme iliyosababishwa na bomoa bomoa isiyojali usalama kwanza.Kuna kijiko bado kinaendelea kubomoa majengo yaliyo jirani
 
sasa ww mtoa taarifa uko kwenye eneo la tukio lakini umeshindwa kutueleza chanzo cha moto huo ni nini? Hata mie nimepita na gari nimeona au niseme tu nimeona bomoa bomoa ya magufuli uwenda lile greda limegusa waya za umeme ikasababisha shoti ni mawazo yangu

Kwan mtoa mada ni msemaji wa jeshi la polisi?
 
Wadau

Tuache kulala. Sisi tunawashabikia MNO hawa wazungu. Kwani lipi la ajabu alichokifanya huyo Mzungu? Hayo makuti? Kwani kuendesha biashara ya mgahawa ni ajabu sana?

Tumebweteka. Tumejiachia. Tumejisahau. Wazungu wanalijua hili. Wanakuja hapa, tunawapapatikia, wanaingia kichwa-kichwa. Ukimchunguza utakuta labda alikuwa na kesi kule kwao, ni wanted criminal. Pesa alizokwiba ndio ukawa mtaji wa kuanzia maisha mapya Bongo! Sisi twamwita "mwekezaji". Wa kuanzisha mgahawa????

Kalaghabahoooooo!
 
[h=5]ITV Tanzania
[/h]
BreakingNews
Bar maarufu ya Samaki Samaki iliyoko Mbezi Beach Jijini Dar Es Salaam imeteketea kwa moto ambao unaendelea kudhibitiwa...
 
Majanga juu ya Majanga pole kwa waathilika wa tukio ilo.
 
Majibu yao ni haya wapeni taarifa hizi japokuwa wanapenda pesa bila kujua kwamba kuna moto siku moja wagonge hapa waangalie videos www.yoursolution-tanzana.co.tz waangalie video waamue baada ya hapo kujikinga na moto
 
Kwan mtoa mada ni msemaji wa jeshi la polisi?

Hv ww vp kwani chanzo cha tukio lolote lazima jeshi la polisi litoe? Kwani nguzo ya umeme aiawezi vunjika au kugongwa na watu wakawa wanaona na wakatoa taarifa kuwa kuna nguzo imeanguka kwa kusababishwa na kugongwa na gari? panua akili yako ndugu watu wanao ingia hapa jf wana uwelewa mkubwa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom