J jaclive mwera New Member Aug 4, 2012 3 0 Aug 5, 2012 #1 yap mnamind story za samaki mchanga? au una kula? if not korosho or ufuta? NAKUJA NAVYO TOKA LINDI (NIPOKEENIII" OK
yap mnamind story za samaki mchanga? au una kula? if not korosho or ufuta? NAKUJA NAVYO TOKA LINDI (NIPOKEENIII" OK
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Aug 5, 2012 #2 Karibu Jf. kuhust chamaki nchanga,inategemea ntu na ntu!
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,701 Aug 5, 2012 #4 Karibu sana, mimi sihitaji samaki nchanga ila ukifika Nangurukuru nichukulie wale samaki wa bahari, changu, pweza, ngisi, kibua au pono wanafaa.
Karibu sana, mimi sihitaji samaki nchanga ila ukifika Nangurukuru nichukulie wale samaki wa bahari, changu, pweza, ngisi, kibua au pono wanafaa.