Zanzibar2014
JF-Expert Member
- Nov 13, 2022
- 743
- 591
- Thread starter
- #41
Hayo ndio yananishinda humu. Nani kasema nimesoma kwa miaka 40 yote??Hahaaaaaaa
Hahaaaaaaa
Aiseee
Ebwana duh nimecheka loud
Hayo ndio yananishinda humu. Nani kasema nimesoma kwa miaka 40 yote??Hahaaaaaaa
Hahaaaaaaa
Aiseee
Ebwana duh nimecheka loud
Sijui kama inanihusu mimi ??Aaaah hii jf yenu ina mambo mengi sikuhizi!!
Haya nimekusamehe, hata sielewi nini kinaendelea 🤣🤣🤣🤣
Vichwa ngumu na ujuwajiKina nani umewaona?
............ ahsante sanaaKuna kitu nataka sema, nimekuwa najibu mada tofauti ambazo sio zangu.
Jamani sio kusudio langu, sikujua bado najifunza kutumia jukwa hili vyema.
Kuna baadhi ya watu wameniambia na nimefurahi kufahamishwa na nimeomba msamaha.
Ambao hawakusema kitu nawaomba msamaha na hao pia.![]()
Soma juu............ ahsante sanaa
Hat sielew nn knaendlea
Nasema mimi hapa ni mpya najifunza. Kama nilikujibu kwa bahati mbaya na sio mada yangu, wanisamehe sina zaidi.
Dah, ila siku ya jana ulizingua parefu. Ukaniweka kwenye kundi la watumia 715. Niliuzunika sana aisee

Wapole huwa wanakuwa watamu kichiziMimi ndio nilivyo ni mpole mnoo
Natania tu 
Njoo mpemba mwenzanguNimejifunza kwamba baadthi ya watu humu wa napenda kujaji kuliko kuuliza kujuwa.
Ndoto zangu ni kuja kuoa toto la Kipemba jamani nawapenda kufa hawa wadada wa Kipemba 😍😍😍Kuna kitu nataka sema, nimekuwa najibu mada tofauti ambazo sio zangu.
Jamani sio kusudio langu, sikujua bado najifunza kutumia jukwa hili vyema.
Kuna baadhi ya watu wameniambia na nimefurahi kufahamishwa na nimeomba msamaha.
Ambao hawakusema kitu nawaomba msamaha na hao pia. 🙏🙏
Pole kwa kukuhuzunisha, nimeelezea kutojua kutumia vizuri. 🙏🙏Dah, ila siku ya jana ulizingua parefu. Ukaniweka kwenye kundi la watumia 715. Niliuzunika sana aisee
Na mimi pia nimekusamehe, na pia numetokea kukupenda. Ngoja nije PM nijitongozeshe kwa kweli. Haiwezekani uishi London peke yako. Kumbe ukiwa London, jf inashika fresh wakuu?![]()
Pia nina ombi jingine la moyo. Sijui naruhusiwa kuzungumza japo siku ya leo sauti yangu haiko sawa kiviilePole kwa kukuhuzunisha, nimeelezea kutojua kutumia vizuri.![]()
Dah, ila siku ya jana ulizingua parefu. Ukaniweka kwenye kundi la watumia 715. Niliuzunika sana aisee
Na mimi pia nimekusamehe, na pia numetokea kukupenda. Ngoja nije PM nijitongozeshe kwa kweli. Haiwezekani uishi London peke yako. Kumbe ukiwa London, jf inashika fresh wakuu?![]()

Wewe acha tu! Kuna wanawake wa shoka humu huwezi amini au nikutajie.Wanawake wote wangekuwa Kama wewe ingependeza sana. Allah akufanyie wepesi kwenye Jambo lako inshaallah
Pole sanaHayo ndio yananishinda humu. Nani kasema nimesoma kwa miaka 40 yote??