Goodluck Boaz
Member
- Feb 26, 2020
- 43
- 26
Ivii mtu akisomea PGM anakuja kuwa nan tofaut na ualim na urubani??
Ahsante!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia sentensi yako vizuri hata wewe pia umekoseaPGM haitak mtu hata kuandika sentensi ya kiswahili hujui
Ukikua utaacha sio kosa lakoMbunge,
Machinga
Mchoma chips
Bodaboda
Mengine wataalumu zaidi watakusaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza ukawa rais kwa bahati kama MaguIvii mtu akisomea PGM anakuja kuwa nan tofaut na ualim na urubani??
Ahsante!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unashindana sasa? Bora shule zifungulie sasa. Tumewachoka mtaani
Ukikua utaacha maana utoto unakusumbuaUnashindana sasa? Bora shule zifungulie sasa. Tumewachoka mtaani
Hahahh kumbe urahisi pia ni kozi eehUnaweza ukawa rais kwa bahati kama Magu
Mbona huyo jamaa unaemkashifu ndio kakupa jibu sahihi? Kakutajia kazi zote unazoweza kuja kuzifanya. Katika orodha yake wapo wengi waliosoma hiyo PGM. Tafakari
Unajua shida sio kusoma PGM... unaweza kuwa PGM na ukakosa ata udereva acha urubani, hasa pale maisha yakijisikia yakuchezeshe!Ivii mtu akisomea PGM anakuja kuwa nan tofaut na ualim na urubani??
Ahsante!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu mleta uzi kwa bongo ni kazi yoyote utafanya tu.Nina mdogo wangu mtoto wa mama mdogo alisoma PCM akafaulu vizuri akasoma IT.Amekaa kitaa miaka mitatu nikamwambia njoo huku nikutaftie shamba.Leo hii mambo sio mabaya kwenye kilimo cha mazao ya mahindi na ufuta.Kila siku ananishukuru kwa kweli.Sasa wasikilize wadau wanachokwambia ndoo jibu sahihi.Hiyo ilkuwa enzi ya Nyerere,Mwinyi na kidogo MkapaIvii mtu akisomea PGM anakuja kuwa nan tofaut na ualim na urubani??
Ahsante!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bless sana aiseeHata usanifu wa majengo anaweza kusomea pia kama akifaulu, Quantity Surveyor pia anaweza kusoma
Ila maisha hayana formula faulu kwanza uje hapa
Sent using Jamii Forums mobile app