Samahani mume wangu: Halikuwa lengo langu...!

Duuu!! Mimi nafikir huyo mwanamke alidanganywa either na rafiki au mganga wa kienyeji kuwa akimwekea hiyo "dawa" atapendwa zaidi. Kumbe anamuua mumewe. Pole zao.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Dah.....huyo mwanaume mstaarabu aisee! Yaani anamgea na mali kabisa??? Angepewa mtaji wa nyanya tu huyo akwende zake, na huyo mume alikosea nini hata achukiwe hivyo?
 
wajemeni narudi tena jamvini...........watakaonuna au kufurahi kwa raha zao! Nimerudi toka mjini nimekutana na jambo la kusikitisha. Ile natia timu tu huku dodoma-eneo la chang'ombe, nimekuta kikao cha usuluhishi kati ya mpangaji mwenzangu na mkewe pamoja na ndugu wa mke na mume.

Kifupi ni kwamba mume amemtaliki mkewe baada ya jaribio la mke kumuua mumewe kwa kumuwekea sumu ktk chakula, wiki sita zilizopita. Baada ya mume kulazwa hospitali ya general kwa wiki 5, jana ndo katoka hospitali na kufikia kutoa talaka leo. Nami ndo nimefikia kuitwa kwa hicho kikao. Masikini bahati nzuri mume hajaathirika sana, ingawa morphology ya mdomo imeharibika kidogo. Habari ya mhusika haijafikishwa polisi kwa kuhofia watoto wao kukosa malezi ya mama-wamezaa watoto 4.

Wakati wa mjadala, mke alimuomba mume afute talaka kwani halikuwa lengo lake kumuua. Ajabu kila mume alivyokuwa akimkomalia, kutaka kujua lengo lake la kumuwekea sumu kwa chakula lilikuwa nini basi kama sio kumuua, mke alishndwa kujibu swali na kubakia kulia tu kila anapoulizwa jibu la swali hilo. Kwa kuhofia suala lisifike mahakamani, jamaa ameamua amuache mkewe kistaarabu kwa kutokwenda polisi kuwaambia 'source ya poisoning'. Kwa kuwa mume ameshikilia msimamo wa kumucha mke, sisi hatuna jinsi, mume kesha amua. Mjadala bado unaendelea jinsi ya kugawana mali, nyumba 1, daladala 2 na teksi 1.

Naendelea kujiuliza, sijapata jibu-hivi inawezekana kweli, unamuwekea mtu sumu kwa chakula halafu unadai lengo sio muathirka afe? Kama lengo halikuwa kumuua mume, alitegemea sumu imfanye nini mumewe?

Inahuzunisha sana!

samahani;
kwani huyo mama ni kabila gani? Kwani kuna makabila mengine kama........, mwanamke kumuua mme wake ili abaki na mali si kitu cha ajabu.
 
Ukichunguza vizr kuna mmojawapo ana mahusiano nje ya ndoa. Kama ni mama basi alitaka kumwondoa ili abaki na jamaa na kama ni baba, basi mama alitaka kukata mzizi wa fitina
 
Labda alitaka amiliki yeye hiyo Nyumba daladala na Tax
Nawaza labda ana serengeti boys kalimdanganya ili watumbue life baada ya kifo cha mzee
 
Wajemeni narudi tena jamvini...........watakaonuna au kufurahi kwa raha zao! Nimerudi toka mjini nimekutana na jambo la kusikitisha. Ile natia timu tu huku dodoma-eneo la chang'ombe, nimekuta kikao cha usuluhishi kati ya mpangaji mwenzangu na mkewe pamoja na ndugu wa mke na mume.

Kifupi ni kwamba mume amemtaliki mkewe baada ya jaribio la mke kumuua mumewe kwa kumuwekea sumu ktk chakula, wiki sita zilizopita. Baada ya mume kulazwa hospitali ya General kwa wiki 5, jana ndo katoka hospitali na kufikia kutoa talaka leo. Nami ndo nimefikia kuitwa kwa hicho kikao. Masikini bahati nzuri mume hajaathirika sana, ingawa morphology ya mdomo imeharibika kidogo. Habari ya mhusika haijafikishwa polisi kwa kuhofia watoto wao kukosa malezi ya mama-wamezaa watoto 4.

Wakati wa mjadala, mke alimuomba mume afute talaka kwani halikuwa lengo lake kumuua. Ajabu kila mume alivyokuwa akimkomalia, kutaka kujua lengo lake la kumuwekea sumu kwa chakula lilikuwa nini basi kama sio kumuua, mke alishndwa kujibu swali na kubakia kulia tu kila anapoulizwa jibu la swali hilo. Kwa kuhofia suala lisifike mahakamani, jamaa ameamua amuache mkewe kistaarabu kwa kutokwenda polisi kuwaambia 'source ya poisoning'. Kwa kuwa mume ameshikilia msimamo wa kumucha mke, sisi hatuna jinsi, mume kesha amua. Mjadala bado unaendelea jinsi ya kugawana mali, nyumba 1, daladala 2 na teksi 1.

naendelea kujiuliza, sijapata jibu-Hivi inawezekana kweli, unamuwekea mtu sumu kwa chakula halafu unadai lengo sio muathirka afe? Kama lengo halikuwa kumuua mume, alitegemea sumu imfanye nini mumewe?

Inahuzunisha sana!

Huenda ni dawa alipewa na mganga wake ili mume ampende zaidi. Naweza kukubaliana na huyo mama kwamba lengo lilikuwa kuongeza penzi na siyo kifo. Pole sana mama kwa masahibu yaliyokukuta.
 
samahani;
kwani huyo mama ni kabila gani? Kwani kuna makabila mengine kama........, mwanamke kumuua mme wake ili abaki na mali si kitu cha ajabu.

irrelevant question kamanda!
 
ntawapa feedback juu ya kitakachoamuliwa! Mjadala jana haukuisha, mume aliachwa akafikirie mwenyewe lakini kila mtu alionekana kutomkatalia wazo lake la kuachana na mke!
 
Tusaidie kabila la huyo mdada, maana makabila mengine nasikia ni balaa kwa kuua waume zao baada ya kuwa na mali. Mwanaume kafanya uamzi wa busara, ila amfukuze asimpe mali hata kidogo, maana ataenda kuzifuja huko.
 
ntawapa feedback juu ya kitakachoamuliwa! Mjadala jana haukuisha, mume aliachwa akafikirie mwenyewe lakini kila mtu alionekana kutomkatalia wazo lake la kuachana na mke!
 
Tusaidie kabila la huyo mdada, maana makabila mengine nasikia ni balaa kwa kuua waume zao baada ya kuwa na mali. Mwanaume kafanya uamzi wa busara, ila amfukuze asimpe mali hata kidogo, maana ataenda kuzifuja huko.

Nadhani hoja hapa ni hilo tendo la kumpa sumu sio kabila. Wazazi wake wote ni wakazi wa asili wa mkoa mmoja kati ya ile mikoa maarufu kwa uzalishaji wa 'cereals', nyanda za juu kusini
 
Hayo ndiyo majambo ya asasi ya ndoa, wengine wanataka kutoka wengine wanataka kuingia..................mambo ya ajabu kabisa.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom