Sam Mahela sasa ndani ya TBC1

Nyie pigeni domo mwenzenu 2020 mtamsikia yupo ikulu kwa Kiongozi wa maraika
 
Atalikuta li Gabriel Zakaria huko cha moto atakiona, aende amwulize Barwaan Muhuza!!
 
Hata Vumilia Mwasha alitoka ITV kutimkia TBC, inaonekana kuna tatizo hapo ITV.
 
Leo katika taarifa ya habari ya saa mbili usiku nimemuona mshikaji aki report kutoka TBC1

Mshikaji sasa kapotea wazi wazi.


Usajili wa dirisha dogo au kubwa?

Kipindi chake cha dk 45 alikuwa akitafuta KIKI sasa ndio majibu yake
 
Aende huko,mshahara ungemlipa wewe??
 
Nyie watanzania huwa mna roho za kichawi sana huwa nashindwa kuwaelewa kabisa hivi wakati anasoma kuna hata mmoja kati yenu humu mnaotoa povu alimchangia ada? acheni watu wafanye maamuzi yao kwa utashi wao sasa kama kapotea wewe inakuuma nini acheni roho za kishetani hizo za kuombeana mabaya tu
 
Jibu zuri, watu wanataka kufurahishwa nafasi zao wakati mwenzao anaangalia maslai yake.
Kweli kabisa,mtu anaangalia maslai yake..hapo ipp watu kibao tu wameondoka refer kina millard ayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…