Sam Mahela sasa ndani ya TBC1

mimi naipenda sana hiyo staili na ninakubali jinsi anavyoongea kwa vitendo.
ngojea nione watu ambao huwa wanadai hawaangalii tbc watakavyoponda
Sijawahi ona manguli wa kuripoti habari wakifa ya huu ujinga.
 
Mabavicha yataponda eti tu kwa sababu jamaa kaamua kujiunga na televisheni yetu pendwa ya taifa.


Television pendwa.................................. kwa kuwa mimi ni kichaa nikaamua kumtafuta kichaa mwenzangu................... haya enda na pendwa yako huko ITV alifukunzwa yeye na Ufoo Saro
 
Nina issue hapa police malindi ndio naenda kuonana na mkuu wa kituo
 
Kwa vile yuko tbc sitakaa nimuangalie hata siku moja.
 
Kwa niaba ya watoto hasa huyo wa miaka mitatu (3)

Hakikisha unao.

Ila tumia muda, mtangulize mungu akuongoze, akupatie mke sahihi.

Pole sana kwa kuondokewa na mke wako.
Duh mnaambiwaga mtulizage mishono yenu hamsikii
Tatizo ana miwani za fundi welding
[QUOTE="toxic9, post: 28348238, member: 109Shabaniiihi
 
Kumbe huyu mdau sahivi yuko kule taifani!


Sawa....Sikujua nini kinaendelea Duniani!
 
Unamaanisha nini mkuu..toa taarifa iliyokamilika kaka..
 
Na mimi ndio nashangaa aiseee, ina wezekana kule taifani kunalipa zaidi ya kule kwingine jamaaa
 
Mpunga mrefu, job security. Unachefuka bure, ni maisha yake na chaguo ni lake. Hafanyi kazi kwa ajili ya wengine bali yeye na familia yake. Serikalini kaona kunalipa.
Lazima aende huko kila mwanahabar anatamani na nindoto zao kufanya kazi tv au chombo cha taifa sivi yao hupanda kwa kufanya Kazi chombo cha taifa.
 
Hakuna asiependa maisha mazuri jamani
 
Unampangia na career yake? Wewe nani alikupangia uwe hapo ulipo, na ulipohama nani alikupangia?

Acheni watu wafanye kazi, wao ndio wanajua ugumu/urahisi wa sehemu wanazifanyia kazi.
wapi nimesema nimempangia kiongozi?acha kuhemkwa basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…