muhamar Gadaf JF-Expert Member Joined Jul 5, 2017 Posts 1,099 Reaction score 1,055 May 15, 2018 #1 Leo katika taarifa ya habari ya saa mbili usiku nimemuona mshikaji aki report kutoka TBC1 Mshikaji sasa kapotea wazi wazi.
Leo katika taarifa ya habari ya saa mbili usiku nimemuona mshikaji aki report kutoka TBC1 Mshikaji sasa kapotea wazi wazi.
P Pohamba JF-Expert Member Joined Jun 2, 2015 Posts 27,626 Reaction score 61,254 May 15, 2018 #2 Dirisha dogo toka Safar ya Matumaini hewa
AlphaPii JF-Expert Member Joined May 15, 2015 Posts 1,169 Reaction score 1,853 May 15, 2018 #3 Sasa huyu nae kafuata nini huko?
sweetlee JF-Expert Member Joined Feb 13, 2015 Posts 4,050 Reaction score 14,770 May 15, 2018 #4 Kapotea kabisa
Zanzibar-ASP JF-Expert Member Joined Nov 28, 2013 Posts 12,151 Reaction score 44,072 May 15, 2018 #5 Kapu...?? Ndio kitu gani hicho?
BigBro JF-Expert Member Joined Jan 9, 2010 Posts 3,631 Reaction score 11,890 May 15, 2018 #6 Yeye na Ofoo Saro wote waliondoka ITV
DiasporaUSA JF-Expert Member Joined Aug 27, 2016 Posts 23,503 Reaction score 29,900 May 15, 2018 #7 Inasemekana ajira za serikali zina security ya kazi. Labda kaona bora aende kupata huo usalama.
Mshuza2 JF-Expert Member Joined Dec 27, 2010 Posts 11,555 Reaction score 17,947 May 15, 2018 #8 cephalocaudo said: Inasemekana ajira za serikali zina security ya kazi. Labda kaona bora aende kupata huo usalama. Click to expand... Pamoja na hilo lakini kuna malengo yametegwa hapa..
cephalocaudo said: Inasemekana ajira za serikali zina security ya kazi. Labda kaona bora aende kupata huo usalama. Click to expand... Pamoja na hilo lakini kuna malengo yametegwa hapa..
Midekoo JF-Expert Member Joined Mar 30, 2015 Posts 47,774 Reaction score 256,812 May 15, 2018 #9 Acheni unafki Kila mtu anapofanya kazi anaangalia Maslahi yake binafsi pengine Huko Itv hakuwa na mkataba Wa kudumu. Watu mshaingiza siasa duh.......
Acheni unafki Kila mtu anapofanya kazi anaangalia Maslahi yake binafsi pengine Huko Itv hakuwa na mkataba Wa kudumu. Watu mshaingiza siasa duh.......
Obugwa Izoba JF-Expert Member Joined Nov 16, 2013 Posts 10,467 Reaction score 11,641 May 15, 2018 #10 Kaenda kwenye maslahi, ajira ya kueleweka sio kwenye chanel za kukaa kibarua miaka 10+
data JF-Expert Member Joined Apr 9, 2011 Posts 26,943 Reaction score 23,884 May 15, 2018 #12 Afadhali.... Maana alikuwa anahoji na kualika maccm tu. Huko kunamfaa.
JFK wabongo JF-Expert Member Joined Aug 11, 2015 Posts 3,887 Reaction score 3,200 May 15, 2018 #13 Kila la kheri Mahela!
ragin JF-Expert Member Joined Feb 9, 2015 Posts 7,391 Reaction score 9,378 May 15, 2018 #14 sio leo tu mi nimemuona mara ya pili hii kalieni na majungu ya siasa weledi wananyakua vitu kama sam big up.
sio leo tu mi nimemuona mara ya pili hii kalieni na majungu ya siasa weledi wananyakua vitu kama sam big up.
Mbao za Mawe JF-Expert Member Joined May 11, 2015 Posts 23,372 Reaction score 55,027 May 15, 2018 #15 Tetesi za kupigwa chini na ITV nilisikia Mwezi mmoja uliopita.
Jephta2003 JF-Expert Member Joined Feb 27, 2008 Posts 6,722 Reaction score 6,593 May 15, 2018 #16 cephalocaudo said: Inasemekana ajira za serikali zina security ya kazi. Labda kaona bora aende kupata huo usalama. Click to expand... Sio inasemekana,huo ndio ukweli
cephalocaudo said: Inasemekana ajira za serikali zina security ya kazi. Labda kaona bora aende kupata huo usalama. Click to expand... Sio inasemekana,huo ndio ukweli
mkali kwanza JF-Expert Member Joined Mar 12, 2012 Posts 1,301 Reaction score 1,186 May 15, 2018 #17 Ni ukweli usiopingika kwamba ITV imekuwa ikitoa watangazaji mahiri lakini pia ni ukweli usiopingika kwamba huenda pia maslahi hayakua mazuri na ndio maana unaona wimbi kubwa la wao kuhamia vituo vingine. Nani asiyependa maisha mazuri?
Ni ukweli usiopingika kwamba ITV imekuwa ikitoa watangazaji mahiri lakini pia ni ukweli usiopingika kwamba huenda pia maslahi hayakua mazuri na ndio maana unaona wimbi kubwa la wao kuhamia vituo vingine. Nani asiyependa maisha mazuri?
mtu watu JF-Expert Member Joined Dec 10, 2017 Posts 2,123 Reaction score 1,617 May 15, 2018 #18 Fanya yako, yule hakujui mkuu, yeye anaangalia maisha yake, mambo ya kapotea sijui nini hayana tija kwako. Wewe fanya yako ili tupate ugali, wale wanajuana na wanatafta hela.
Fanya yako, yule hakujui mkuu, yeye anaangalia maisha yake, mambo ya kapotea sijui nini hayana tija kwako. Wewe fanya yako ili tupate ugali, wale wanajuana na wanatafta hela.
Totos Boss JF-Expert Member Joined Dec 30, 2012 Posts 5,456 Reaction score 1,569 May 15, 2018 #19 Kipindi cha 45 mn.
DiasporaUSA JF-Expert Member Joined Aug 27, 2016 Posts 23,503 Reaction score 29,900 May 15, 2018 #20 Mshuza2 said: Pamoja na hilo lakini kuna malengo yametegwa hapa.. Click to expand... Usalama ni moja ya malengo boss
Mshuza2 said: Pamoja na hilo lakini kuna malengo yametegwa hapa.. Click to expand... Usalama ni moja ya malengo boss