mdundo ngoma sana
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,002
- 956
Sam Mahela leo umechemsha vibaya mno kwenye interview na Mchungaji Msigwa. Ulikuwa kama umejialika studio, umetumia muda mwingi kumbana host asifunguke.
Kama proffession journalist ulifanya makosa kuandaa maswali ambayo ulimbana sana host asiyajibu. Interview imekuwa bias mno, inashauliwa umuache source afunguke sio kama ulivyofanya.
Next time usimuite mtu ambaye unambanabana otherwise kipindi apewe mwingine.
Kama proffession journalist ulifanya makosa kuandaa maswali ambayo ulimbana sana host asiyajibu. Interview imekuwa bias mno, inashauliwa umuache source afunguke sio kama ulivyofanya.
Next time usimuite mtu ambaye unambanabana otherwise kipindi apewe mwingine.
Nimekua nikifuatilia kipindi hiki kinachorishwa na ITV maarufu Dakika 45. Huyu jamaa Sam Mahela wakati akifanya mahojiano na mwaalikwa asilimia 50% mzungumzaji ni Sam Mahela mwenyewe.
Katika maadili ya habari, hurubusiwi kutoa maoni yako hasa wakati wa kufanya mahojiano (un-opinionated). Huyu Mahela akiguswa tu Mfano Magufuli, utamsikia akimtetea kwa nguvu zote eti huyu Rais kaleta mabadiliko makubwa sana na mm nimefanya utafiti mikoa saba Tanzania na kwamba magufuli anakubalika.
Mfano katika kipindi cha leo akihojiana na Msigwa, huyu Mahela, alizungumza zaidi kuliko mualikwa, alijibizana nae kana kwamba yeye ni msemaji wa CCM au wa serikali ya Magufuli. Alimhakikishia kuwa Magufuli anakubalika sana na yeye alifanya tafiti na viongozi wa dini na vyama vya siasa vinamkubali. Pathetic.
Alienda mbali zaidi kwamba kila alichokua anasema Msigwa yeye humjibu "Wasema wewe, Mimi sijasema"! Sasa najiuliza huyu KANJANJA vipi, ama ni wakala wa CCM ndani ya DK 45 au anamfurahisha mfalme....
Wadau mtakumbuka aliekua anaendesha kipindi hiki huko nyuma ni Buhohela, na kwasasa amepata ugali wake (kazi) magogoni (Ikulu). Huyu Mahela naona nae amepatamani huko na sharti amfurahishe mfalme!
Huo ni Ukanjanja na njaa Kali...Aibu! Shame on you MAHELA.