Hehehe! Mamushkaaaaa!huo ndo moyo wa mwanamke!!! its just too big!!!
Hehehe! Mamushkaaaaa!
Ngoja Charity aingie hapa a do ze niidiful!
Hii kitu sio mpya hapa ndugu.
Ilishaletwa na member siku ya wanwake duniani.
Hii kitu sio mpya hapa ndugu.
Ilishaletwa na member siku ya wanwake duniani.
sidhani kasema kama ni mpya, hilo ameliweka wazi kuwa alipekua akakuta kuna mtu Alimwaga sifa kwa wanawake lakini bado inamgusaHii kitu sio mpya hapa ndugu.
Ilishaletwa na member siku ya wanwake duniani.
Yani kweli nina hubby kichwa kweli.Hii thread uliitunga wewe,juzi ikaibwa ikapelekwa michuzi blog leo tena inalletwa hapa.Kesho usishangae ipo uwazi.Nigongee senksi basi. Bado inalipa kumbe!
Asante Ama, mbona sijaiona kwenye list ya similar threads, anyway hata kama ipo kama imenigusa si naweza kui-revive?.ukinisaidia link nakugongea thanks digitally.
Yani kweli nina hubby kichwa kweli.Hii thread uliitunga wewe,juzi ikaibwa ikapelekwa michuzi blog leo tena inalletwa hapa.Kesho usishangae ipo uwazi.
Ngoja niitafute kule ilipo niilete hapa.
Yani sipendi kabisa wizi wa kazi za wasanii.
Leo ni: HESHIMA JUU kwa WANAWAKE!
Chrispin15th January 2010, 08:13 AM
Kuna tukio nililiona jana:
Acheni niwape heshima iliyotukuka wanawake woote;
IMAGINE:
ANAKUFUMANIA: Analia, ananyamaza, anasononeka, unambembeleza anakuelewa anakusamehe halafu anasahau!!!
UNAZAA NJE YA NDOA: Anasononeka na kulia sana. Anakuchukia lakini baadaye anakusamehe. Halafu analea mtoto uliyemzaa nje kwa upendo. Kama ni kuchukiwa atachukiwa mtoto, si wewe uliyefanya umalaya!
UNARUDI USIKU WA MANANE UKIWA MTUNGI: Anakukaribisha, anakuandalia chakula, unagoma kula. Anahifadhi chakula alichokuandalia bila manung'uniko.
UNAAMKA ASUBUHI NA MAHANGOVER: Anakuandalia staftahi (saa nyingine unagoma kutumia staftahi yake unakimbilia baa kwenda kunywa Supu na kuzimua. Wala halalamiki!
CHAKULA CHA USIKU: Ushapiga mtungi wako, mtarimbo umesimama, unataka huduma. Unamrukia, hamna maandalizi unamuumiza (Wengine wana mamitarimbo ya kufa mtu, sasa imagine hujamuandaa: LOL) Anavumilia ili akuridhishe. Na kesho yake tena inaweza tokea hii; hana kinyongo!
UNAJIANDAA KWENDA KIBARUANI: Unakuta kashakuandalia viwalo, suruwale imenyooshwa kama ya askari trafiki, shati limepigwa pasi ya maana! Nguo ulizovua jana zimeshalowekwa tayari kwa kufanyiwa usafi! Ulichomuudhi jana kashasahau na kukusamehe!
UNAMPA UJAUZITO: Anauthamini, anautunza anajifungua kwa uchungu, mtoto anakuachia wewe umpe jina, la kwake halimo kabisa kwenye majina atakayotumia mtoto! Na pamoja na uchungu wa kuzaa, bado yuko radhi kukuzalia mtoto mwingine na mwingine tena!
Na mengine meeeeengi sana wanafanyiwa hawa watu lakini WANASAMEHE, WANAVUMILIA! Ni watu muhimu sana hawa watu maishani mwangu!
HIVI INGEKEWA WANAUME TUNAFANYIWA HIVI INGEKUWAJE?
Kwa leo acheni tu niwape heshima zao wanawake wote:
I SALUTE AND LOVE THEM WOMEN!
(NB: Leo niko kimaadili zaidi!)
__________________
Bwana, Ee Bwana kwanini wasimama mbali?
Kwanini wajificha nyakati za shida?
Nimekugongea thanx kule na ninakuongezea nyingine hapa kwa kiswahili ASANTE, kumbe kweli ilishawahi kuwepo hapa, hii nimequote toka michuzi, hongera kwa Xpin kama ni utunzi wake pia na sio wizi wa kazi za wasanii kama unavyofikiri, ndio maana ya Quotation FYI.
yALIO NDANI YA UWEZO WETU TUNAYAWEZA SANA.Katika pekua pekua nimekutana na huyu jamaa akiwamwagia sifa wanawake
Hajakosea, I salute them too huku nikitafakari kama wanaume tunaweza kuwa na roho ya imani kama mama zetu hawa.
sidhani kasema kama ni mpya, hilo ameliweka wazi kuwa alipekua akakuta kuna mtu Alimwaga sifa kwa wanawake lakini bado inamgusa
kwenye red FYI wala haikuwa siku a wanawake.......