Salute to all women

M-bongotz

JF-Expert Member
Jan 7, 2010
1,734
405
SORRY!!
This thread has been deleted by m-bongotz.
Any inconvenience caused is highly regretted.
 
huo ndo moyo wa mwanamke!!! its just too big!!!
 
Hehehe! Mamushkaaaaa!
Ngoja Charity aingie hapa a do ze niidiful!

Papushka this was one of your best threads ujue......thank you again (nina vichane vingi tu vya asante hapa)
 
Hii kitu sio mpya hapa ndugu.
Ilishaletwa na member siku ya wanwake duniani.

Asante Ama, mbona sijaiona kwenye list ya similar threads, anyway hata kama ipo kama imenigusa si naweza kui-revive?.ukinisaidia link nakugongea thanks digitally.
 
Hii kitu sio mpya hapa ndugu.

Ilishaletwa na member siku ya wanwake duniani.
sidhani kasema kama ni mpya, hilo ameliweka wazi kuwa alipekua akakuta kuna mtu Alimwaga sifa kwa wanawake lakini bado inamgusa

kwenye red FYI wala haikuwa siku a wanawake.......
 
Nigongee senksi basi. Bado inalipa kumbe!
Yani kweli nina hubby kichwa kweli.Hii thread uliitunga wewe,juzi ikaibwa ikapelekwa michuzi blog leo tena inalletwa hapa.Kesho usishangae ipo uwazi.
Ngoja niitafute kule ilipo niilete hapa.

Yani sipendi kabisa wizi wa kazi za wasanii.
 
Asante Ama, mbona sijaiona kwenye list ya similar threads, anyway hata kama ipo kama imenigusa si naweza kui-revive?.ukinisaidia link nakugongea thanks digitally.

Leo ni: HESHIMA JUU kwa WANAWAKE!
Chrispin
user_offline.gif
15th January 2010, 08:13 AM
Kuna tukio nililiona jana:
Acheni niwape heshima iliyotukuka wanawake woote;
IMAGINE:

ANAKUFUMANIA: Analia, ananyamaza, anasononeka, unambembeleza anakuelewa anakusamehe halafu anasahau!!!

UNAZAA NJE YA NDOA: Anasononeka na kulia sana. Anakuchukia lakini baadaye anakusamehe. Halafu analea mtoto uliyemzaa nje kwa upendo. Kama ni kuchukiwa atachukiwa mtoto, si wewe uliyefanya umalaya!

UNARUDI USIKU WA MANANE UKIWA MTUNGI: Anakukaribisha, anakuandalia chakula, unagoma kula. Anahifadhi chakula alichokuandalia bila manung'uniko.

UNAAMKA ASUBUHI NA MAHANGOVER: Anakuandalia staftahi (saa nyingine unagoma kutumia staftahi yake unakimbilia baa kwenda kunywa Supu na kuzimua. Wala halalamiki!

CHAKULA CHA USIKU: Ushapiga mtungi wako, mtarimbo umesimama, unataka huduma. Unamrukia, hamna maandalizi unamuumiza (Wengine wana mamitarimbo ya kufa mtu, sasa imagine hujamuandaa: LOL) Anavumilia ili akuridhishe. Na kesho yake tena inaweza tokea hii; hana kinyongo!

UNAJIANDAA KWENDA KIBARUANI: Unakuta kashakuandalia viwalo, suruwale imenyooshwa kama ya askari trafiki, shati limepigwa pasi ya maana! Nguo ulizovua jana zimeshalowekwa tayari kwa kufanyiwa usafi! Ulichomuudhi jana kashasahau na kukusamehe!

UNAMPA UJAUZITO: Anauthamini, anautunza anajifungua kwa uchungu, mtoto anakuachia wewe umpe jina, la kwake halimo kabisa kwenye majina atakayotumia mtoto! Na pamoja na uchungu wa kuzaa, bado yuko radhi kukuzalia mtoto mwingine na mwingine tena!

Na mengine meeeeengi sana wanafanyiwa hawa watu lakini WANASAMEHE, WANAVUMILIA! Ni watu muhimu sana hawa watu maishani mwangu!

HIVI INGEKEWA WANAUME TUNAFANYIWA HIVI INGEKUWAJE?

Kwa leo acheni tu niwape heshima zao wanawake wote:

I SALUTE AND LOVE THEM WOMEN!

(NB: Leo niko kimaadili zaidi!)
__________________
Bwana, Ee Bwana kwanini wasimama mbali?
Kwanini wajificha nyakati za shida?


Chrispin
JF Premium Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Sat Mar 2008
Location: At Any Bar Counter
Posts: 6,098
Thanks: 1,439
Thanked 2,019 Times in 1,415 Posts


report.gif
Report Post
subscribe.gif
Subscription
printer.gif
Show Printable Version
sendtofriend.gif
Email this Page
reputation.gif
Add to Chrispin's Reputation


Views: 3307


The Following 47 Users Say Thank You to Chrispin For This Useful Post: Remove Your Thanks Akili Kichwani (15th January 2010), BelindaJacob (15th January 2010), bht (15th January 2010), Bigirita (15th January 2010), Bonge (18th January 2010), Bujibuji (15th January 2010), carmel (15th January 2010), Charity (15th January 2010), De Novo (15th January 2010), Edo (18th January 2010), eRRy84 (15th January 2010), Fidel80 (15th January 2010), FirstLady1 (15th January 2010), Geoff (15th January 2010), GP (15th January 2010), Iza (18th January 2010), JS (15th January 2010), Kaitaba (15th January 2010), Katavi (15th January 2010), klorokwini (15th January 2010), Kosmio (19th January 2010), Lady N (15th January 2010), Lekanjobe Kubinika (15th January 2010), Lily Flower (15th January 2010), Lumbe (15th January 2010), MADAI (15th January 2010), Mfamaji (15th January 2010), MjasiriamaliShupavu (15th January 2010), Msindima (18th January 2010), MwanajamiiOne (15th January 2010), Next Level (15th January 2010), Ngongo (15th January 2010), Nguli (15th January 2010), Nyamayao (15th January 2010), nyangoma (18th January 2010), PakaJimmy (16th January 2010), Preta (15th January 2010), Pretty (15th January 2010), Prodigal Son (15th January 2010), Shishi (15th January 2010), SMU (15th January 2010), Soulbrother (15th January 2010), Sugar wa Ukweli (17th January 2010), Sumbalawinyo (15th January 2010), Tshala (15th January 2010), Tumain (15th January 2010), WomanOfSubstance (16th January 2010)


ChrispinView Public ProfileSend a private message to ChrispinSend email to ChrispinFind More Posts by ChrispinAdd Chrispin to Your ContactsGive Away PointsExperience
Points: 399,225, Level: 100
red_left.png
red.png
red_right.png
Level up: 0%, 0 Points needed
grey_left.png
grey.png
grey_right.png
Activity: 100%
green_left.png
green.png
green_right.png
Ranking Shop
 
Yani kweli nina hubby kichwa kweli.Hii thread uliitunga wewe,juzi ikaibwa ikapelekwa michuzi blog leo tena inalletwa hapa.Kesho usishangae ipo uwazi.
Ngoja niitafute kule ilipo niilete hapa.

Yani sipendi kabisa wizi wa kazi za wasanii.

Nimekugongea thanx kule na ninakuongezea nyingine hapa kwa kiswahili ASANTE, kumbe kweli ilishawahi kuwepo hapa, hii nimequote toka michuzi, hongera kwa Xpin kama ni utunzi wake pia na sio wizi wa kazi za wasanii kama unavyofikiri, ndio maana ya Quotation FYI.
 
Leo ni: HESHIMA JUU kwa WANAWAKE!
Chrispin
user_offline.gif
15th January 2010, 08:13 AM
Kuna tukio nililiona jana:
Acheni niwape heshima iliyotukuka wanawake woote;
IMAGINE:

ANAKUFUMANIA: Analia, ananyamaza, anasononeka, unambembeleza anakuelewa anakusamehe halafu anasahau!!!

UNAZAA NJE YA NDOA: Anasononeka na kulia sana. Anakuchukia lakini baadaye anakusamehe. Halafu analea mtoto uliyemzaa nje kwa upendo. Kama ni kuchukiwa atachukiwa mtoto, si wewe uliyefanya umalaya!

UNARUDI USIKU WA MANANE UKIWA MTUNGI: Anakukaribisha, anakuandalia chakula, unagoma kula. Anahifadhi chakula alichokuandalia bila manung'uniko.

UNAAMKA ASUBUHI NA MAHANGOVER: Anakuandalia staftahi (saa nyingine unagoma kutumia staftahi yake unakimbilia baa kwenda kunywa Supu na kuzimua. Wala halalamiki!

CHAKULA CHA USIKU: Ushapiga mtungi wako, mtarimbo umesimama, unataka huduma. Unamrukia, hamna maandalizi unamuumiza (Wengine wana mamitarimbo ya kufa mtu, sasa imagine hujamuandaa: LOL) Anavumilia ili akuridhishe. Na kesho yake tena inaweza tokea hii; hana kinyongo!

UNAJIANDAA KWENDA KIBARUANI: Unakuta kashakuandalia viwalo, suruwale imenyooshwa kama ya askari trafiki, shati limepigwa pasi ya maana! Nguo ulizovua jana zimeshalowekwa tayari kwa kufanyiwa usafi! Ulichomuudhi jana kashasahau na kukusamehe!

UNAMPA UJAUZITO: Anauthamini, anautunza anajifungua kwa uchungu, mtoto anakuachia wewe umpe jina, la kwake halimo kabisa kwenye majina atakayotumia mtoto! Na pamoja na uchungu wa kuzaa, bado yuko radhi kukuzalia mtoto mwingine na mwingine tena!

Na mengine meeeeengi sana wanafanyiwa hawa watu lakini WANASAMEHE, WANAVUMILIA! Ni watu muhimu sana hawa watu maishani mwangu!

HIVI INGEKEWA WANAUME TUNAFANYIWA HIVI INGEKUWAJE?

Kwa leo acheni tu niwape heshima zao wanawake wote:

I SALUTE AND LOVE THEM WOMEN!

(NB: Leo niko kimaadili zaidi!)
__________________
Bwana, Ee Bwana kwanini wasimama mbali?
Kwanini wajificha nyakati za shida?

.....and I SALUTE YOU for the job well done.
 
Nimekugongea thanx kule na ninakuongezea nyingine hapa kwa kiswahili ASANTE, kumbe kweli ilishawahi kuwepo hapa, hii nimequote toka michuzi, hongera kwa Xpin kama ni utunzi wake pia na sio wizi wa kazi za wasanii kama unavyofikiri, ndio maana ya Quotation FYI.

Wewe ni mwelewa sana. Mie nina tatizo na yule aliyeitoa huku JF na kuipeleka Michuzi blog halafu akaedit heading badala ya Heshima kwa wanawake akaweka salute to women.Kama alikuwa na nia ya kufanya quotation angesema alikoitoa,lakini alijifanya kama ndio yeye aliyeitunga.
Peace and love!
ubarikiwe
 
Katika pekua pekua nimekutana na huyu jamaa akiwamwagia sifa wanawake


Hajakosea, I salute them too huku nikitafakari kama wanaume tunaweza kuwa na roho ya imani kama mama zetu hawa.
yALIO NDANI YA UWEZO WETU TUNAYAWEZA SANA.
 
this show how selfish men are... yani this make me sick...
sorry guys I dont have such heart na hizo sifa mie sizipendi kabisa... honestly why should any woman keep up with all that shit...

and the baby name we both gonna choose.....
 
So great and touching, but sad that its for these same accolades that women are treated like door mats. Mmh....
 
sidhani kasema kama ni mpya, hilo ameliweka wazi kuwa alipekua akakuta kuna mtu Alimwaga sifa kwa wanawake lakini bado inamgusa

kwenye red FYI wala haikuwa siku a wanawake.......

Mwanzisha thread kaenda zoa hii issue kwa Michuzi, akidhani analeta habari mpya hapa. Kumwambia kuwa hii sio mada mpya imekuuma sana, samahani kama nimekukwaza.

Kumbe ilikuwa siku gani ile mrembo?
 
Theodora thats what I am talking about till when women will accept to be treated like shit and being victims? why Why why? with my due respect to the thread starter but thats not kind of shit we wanna hear... tell us how well u treat ur women so others can learn too.. God Bless you all ...
 
AMA slow down,hatubishani hapa,besides CHARITY alishatoa msaada na tukafunga mjadala.,peace!!
 
Back
Top Bottom