KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,555
- 8,552
Nimeambiwa hizi saluni za gharama za kuwarembesha hakina mama nasikia ndo akina mama wengi wenye busara zao hukutana na mabwana zao kwakuogopa umbea wa magazeti ya udaku!!hivyo ukienda huko ukakuta Unisex ujue watu huko kuna chumba!Private room!!
Na wazito ndo maeneo yao!!kwahiyo mkeo akikwambia anaenda saluni jaribu kufahamu wasfu wa saluni!!:eek2:
Na wazito ndo maeneo yao!!kwahiyo mkeo akikwambia anaenda saluni jaribu kufahamu wasfu wa saluni!!:eek2: