Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,125
- 8,233
Ubinafsishaji ulishawahi kufanyika kwa viwango vya kifisadi chini ya mwenyekiti wa CCM hayati BMkapa.Umesahau kuwa Ubinafsishaji ulishawahi kufanyika??
Ubinafsishaji ulishawahi kufanyika kwa viwango vya kifisadi chini ya mwenyekiti wa CCM hayati BMkapa.Umesahau kuwa Ubinafsishaji ulishawahi kufanyika??
Nani kapanic?Toa hoja usipanic
Acha ujinga, mngekuwa na sera basi mngeshajenga ofisi ya makao makuu. Mbona mlishindwa kusimamia pesa za visima zilizotolewa na Sabodo hadi akakatisha na kuwanyima jengo la CINEMAX pale ITV Mwenge. Mmesgindwa kusimamia ruzuku ndio maana wabunge wengi wamewakimbia.Ukiwa na sera nzuri mashirika yataendeshwa kwa ufanisi mkubwa sana! Na hapo kwenye sera ndipo serikali ya CCM imefeli vibaya
Kajifunze kuandika kwanza 'memkwa' inaonyesha una matatizo kichwani.Kama hujuw lud darasan kwanza
Kodi waliahidi hawatakusanya, na sasa wanaahidi kubinafsisha biashara za serikali, matapeli hawaMwandishi wa Gazeti la Mwananchi amemnukuu Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais Chadema akieleza sera ya Chama chao kuwa ni kubinafsisha biashara zote ili ziendeshwe na sekta binafsi.
Amesema Serikali itabaki na jukumu la kutunga Sera tu.
My Take:
Nadhani upo umuhimu wa wataalamu kuwasaidia vyama vya siasa na wagombea mambo muhimu na yaliyotafitiwa ya kuyaongelea kwenye kampeni.
Sera siyo ofisi wala majengo!Acha ujinga, mngekuwa na sera basi mngeshajenga ofisi ya makao makuu. Mbona mlishindwa kusimamia pesa za visima zilizotolewa na Sabodo hadi akakatisha na kuwanyima jengo la CINEMAX pale ITV Mwenge. Mmesgindwa kusimamia ruzuku ndio maana wabunge wengi wamewakimbia.
Hili suala linamtatiza sana hata Faroukh Karim wa ITV, Zanzibar. Jana alilazimika kuliuliza kwenye press conferences.Wanasiasa huwa mara nyingi wanaongea vitu katika mtazamo wa kisiasa na sio katika uhalisia Kuna vitu wanavozungumza havina uhalisia kabisa
Hiyo TTCL bado iko hoi taaban. Kinachosemwa sicho unachokijua kwa undani. Na uongo ndiyo imekuwa nguzo muhimu kwa awamu hii. Subiri nitaweka humu jamvini taarifa muhimu kuanzia wiki ijayo ndipo utagundua kuwa una serikali ya aina ganiWewe upo juu sisi tupo juu katikati na chini.
Hivi TTCL ilikuwa hoi kwa sababu gani na imerudi kuwa hai kwa sababu gani?
Ha ha ha wenye Sera nzuri nani?. Hiki Chama cha Mbowe?. I see, haupo serious kabisa. Wao wenyewe wanashindwa kuweka Sera nzuri, juu ya mapato na matumizi ya saccos yao itakuwa ya mashirika ya umma?. Hawa watu ni watafunaji, watanzania tusikubali hata nukta ulaghai wao.Ukiwa na sera nzuri mashirika yataendeshwa kwa ufanisi mkubwa sana! Na hapo kwenye sera ndipo serikali ya CCM imefeli vibaya
Ipo hoi wakati mimi najiunga JF kupitia TTCL?Hiyo TTCL bado iko hoi taaban. Kinachosemwa sicho unachokijua kwa undani. Na uongo ndiyo imekuwa nguzo muhimu kwa awamu hii. Subiri nitaweka humu jamvini taarifa muhimu kuanzia wiki ijayo ndipo utagundua kuwa una serikali ya aina gani
Wote wanao ona wamepata Mkombozi ni kama vipofu vile. Wengi hawaoni mbali, na huendeshwa kwa matumbo yao tu. Kwa mustakabali wa ustawi wa mama Tanzania, Sera za chama cha Mbowe ni sumu kwa taifa wala sio mbolea.Hapo ndio mashirika yote nyeti yataangukia mikononi mwa mabeberu, na kutuendesha yanavyotaka!
Tutapiga magoti, watatuendesha, na watapata kila wanachokitaka, maana wao ndio watakuwa wameshikilia mpini!.
Wanaowashangilia hawa wanasiasa nakuwaona ndio wakombozi wao, binafsi huwa nawaona, somewhere kumkichwa hakuko vizuri!.
Hizi ndo unaita akili kweli? Shirika la Umeme siyo business oriented, ni service oriented. Kwa nini hukumpigia hata simu Mh. Mwalimu akakufafanulia alichosema kuliko kujidhalilisha hivi?Hatuwezi kufanya majaribio kwa nchi nzima. Watanzania ni waelewa sana!
====
Kwamba Tanesco itabinafsishwa, TTCL, ATCL, TRC, nakadhalika....! Vyote watapewa " wakwepuaji" wa chama cha Mbowe,Chadema! Maajabu hayeshi!
Unataka za viazi au za ndizi?Lete clip
Kwa mwandiko huu tu nachukua nafasi hii kukuomba radhi sana.Kama hujuw lud darasan kwanza
Kweli TTCL ni ma-genius.Ipo hoi wakati mimi najiunga JF kupitia TTCL?
Mitandao yote inachukua bando TTCL.
Kodi waliahidi hawatakusanya, na sasa wanaahidi kubinafsisha biashara za serikali, matapeli hawa
Sera ya Chadema ni wazi haikuandaliwa Tanzania wala na watanzania iliandaliwa nje ya nchi na wazungu akina Amsterdam imejaa maslahi yao tu sera yote ona hadi madii wataweka rehani kwa wazungu!!! Hiyo sera haikuandaliwa TanzaniaWote wanao ona wamepata Mkombozi ni kama vipofu vile. Wengi hawaoni mbali, na huendeshwa kwa matumbo yao tu. Kwa mustakabali wa ustawi wa mama Tanzania, Sera za chama cha Mbowe ni sumu kwa taifa wala sio mbolea.
Pesa zote wanazokusanya TTCL zinaenda serikalini mfuko mkuu wa hazina unashangaa nini? Wao kuomba pesa serikalini?Kweli TTCL ni ma-genius.
TTCL wanatoa gawio la 2.1bil huku hapohapo wanaomba mtaji wa trilion 1.7,hizi ni hesabu za Trigonometric ratios
nadhani.View attachment 1588798View attachment 1588799
Kwakuwa wewe unajiungia bando basi ndiyo imekuwa tajiri?Ipo hoi wakati mimi najiunga JF kupitia TTCL?
Mitandao yote inachukua bando TTCL.