simulizi za kweli
Member
- May 7, 2021
- 29
- 64
Acha udini ,kwani hakuna viongozi waislamu wa hovyo?mama amebalansi, mi naona ateue waislm wengi wasiopenda dhulma si hawa wenzetu wanajifanya kumtaja Mungu na makamera kanisani kama mafarisayo na masaduukayo huku mioyo yao ikimkirishetani kwa vitendo.