Roadmap
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 2,898
- 5,796
Uko sahihi mkuu kama mnafanana vyeo Seniority itangalia nani kaanza kupata cheoSio kweli mzee.
Kwenye jeshi kuna mtu ambae mna cheo kimoja lakini yeye katangulia kupata cheo hiko,mtu huyu utaanza wewe kumsalimia kwa sababu huko majeshini mdogo ndo huanza kusalimia na mkubwa kazi yake kuitikia.
Kwa hiiyo mzee hamduni atakuwa amewakuta watu wengi tu ambao wamemtangulia kicheo jambo ambalo litamfanya yeye aanze kuwapigia saluti wao.
Mfano yule naibu wa IGP akikutana nae atadondoka salute tu na ishu ikawa kama hivyo yaani.
Wataalamu wenyewe wa majeshi watanisahihisha kama nimekosea