Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,141
- 45,808
mkuu, wewe unazingua sana, watu wanajitahidi kukuelewesha ila hutaki kuelewa, kwa kifupi vyeo vya jeshi sio siri wewe ukiona mabeyo alipandishwa cheo hiyo 2015 yako alafu haikutangazwa ni kwa sababu haikuwa na umuhimu kutangazwaHuwezi kuwajua nani na nani wote ni mabrigedia na nani na nani wote na mameja jenerali na nani na nani wote ni makanali labda uwe unafanya kazi MMJ
Juzi tu hapo wakati Mbuge anapandishwa kuwa mej jen kuna mabrigedia kibao na meja jenerali wamepandishwa kwa usiri ,,,kuna batch kubwa ya majenerali imestaafu mwaka jana ilikuwa siri labda mtu awe mhusika wa familia ndio kujua nani na nani walistaafu
wanajeshi magari yao yana vyeo na ma brigedia wanajulikana ni wewe tu huwajui ila watu wengi hata humu wamo wanawajua, unasemaje vyeo vya jeshi ni siri wakati gari za wanajeshi wenye vyeo vya juu jwtz na police vimewekwa vyeo hivo ?
kama ingekuwa vyeo hivyo ni siri basi wasingekuwa wanajitambulisha, siri za jeshi ni mfano hizi hapa 1.idadi ya askari mkoa fulani
2. silaha zilizopo jeshini 3.operation zinazofanywa na jeshi nk