Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,664
- 272,503
Akihutubia Mkutano wa hadhara uliofanyika Magomeni Morocco , Mwalimu ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa Chadema ALITOBOA SIRI KWAMBA World Bank ilikwisha toa 16 bil za kuurekebisha Mto ng'ombe badala ya kuvunja nyumba za wananchi.
Salum ambaye duru za siasa za Kinondoni zinadai kwamba ni mbunge anayesubiri kuapishwa amesema serikali inawavunjia wananchi kwa lengo la kubania bil 16 .
" Msifanye makosa msichague mbunge dhaifu , nichagueni mimi najua kunusa zilipo fedha za maendeleo "
Chanzo - Mwananchi .
Salum ambaye duru za siasa za Kinondoni zinadai kwamba ni mbunge anayesubiri kuapishwa amesema serikali inawavunjia wananchi kwa lengo la kubania bil 16 .
" Msifanye makosa msichague mbunge dhaifu , nichagueni mimi najua kunusa zilipo fedha za maendeleo "
Chanzo - Mwananchi .