Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,813
- 284,942
- Thread starter
- #21
Ni aibu sana !Kuhusu suala la uchaguzi Kinondoni Paskali wa JF alisha maliza hoja zote. Ntu hawezi kuacha Ubunge (kwa sababu yoyote ile) kisha akarudi tena kuuomba. Ilisemwa kuwa huyu ni MALA.. wa Kisiasa.