LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 251
Huyu mtangazaji wa magic fm anaposoma vidokezo vya magazeti asubuhi huwa anapenda sana kusoma gazeti la uhuru. Basi utamsikia ninalo gazeti kongwe, gazeti la chama. Hivi kusema gazeti la chama ana maana gani? Yeye ina maana hajui kuwa sasa mambo ya kusema chama na serikali hayapo? Kwa kuwa sasa hivi ni mfumo wa vyama vingi. Bora kama anajisikia kujipendekeza kwenye chama chake kuwa anasoma gazeti lao aseme gazeti la ccm ili wamwelewe wanaolimiliki.