Yani kikeke aje kufanya kazi kwenye huo uchafu wa CCM aharibu CV yake?Kisha apewe kuongoza TBC naona dalili za Dkt Ryoba kupwaya pale kama JPM alivomwuliza ikulu siku 'we unajitathmini vp' ....TBC 1 imepoteza mvuto kwa kipindi kirefu sasa,naamini huyu kijana Kikeke ataleta mabadiliko kwani si kaelimu anako kidogo. Au kama vipi mrudisheni Tido. hashtag [HASHTAG]#bringbackourtbc[/HASHTAG]
Weee jamaa weee!Katika Shirika la hovyo la utangazaji duniani na mbinguni(kama yapo)TBC ni namba moja
Si yeye anatafuta malisho ya kijani,wathungu'green pastures'-tshs 40,000,000/=pmKisha apewe kuongoza TBC naona dalili za Dkt Ryoba kupwaya pale kama JPM alivomwuliza ikulu siku 'we unajitathmini vp' ....TBC 1 imepoteza mvuto kwa kipindi kirefu sasa,naamini huyu kijana Kikeke ataleta mabadiliko kwani si kaelimu anako kidogo. Au kama vipi mrudisheni Tido. hashtag [HASHTAG]#bringbackourtbc[/HASHTAG]
Kisha apewe kuongoza TBC naona dalili za Dkt Ryoba kupwaya pale kama JPM alivomwuliza ikulu siku 'we unajitathmini vp' ....TBC 1 imepoteza mvuto kwa kipindi kirefu sasa,naamini huyu kijana Kikeke ataleta mabadiliko kwani si kaelimu anako kidogo. Au kama vipi mrudisheni Tido. hashtag [HASHTAG]#bringbackourtbc[/HASHTAG]
NILIVYOMWELEWA MTOA MADA NI KUWA ANAOMBA SALIM KIKEKE ARUDI KUIOKOA TBC KWA SABABU IMEPOTEZA MVUTO 100% TOFAUTI NA ENZI ZA TIDO MHANDO. IKIWA TIDO ANGERUDI TBC UNGESHANGAA 75% YA WAANGALIA TV WANGEHAMIA TBC.Kikeke amekukosea nini bwana Nyandikwa hadi utake kumpoteza?
Ni kweli kabisa hawezi kukubali,historia yake ukiisikiliza mpaka anatoka kimaisha inahuzunisha sana,halafu leo harudi tena bongo huku si kutesana jamani,kama akibahatika kurudi bongo kibongo bongo azam ndo ataweza mlipa na sio serikaliKikeke ana uraia wa kudumu kwa Malkia! Usitengemee kama atarudi kufanya kazi bongo hata akiteuliwa kuwa RC mpya wa Arusha usitengemee kama atarudi bongo!
wakati anatafuta ajira bongo alizunguka sana