Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,484
- 30,162
Kupendekeza Salim Kikeke aje awe Mkurugenzi wa TBC ni kutaka kumpoteza........
Tujikumbushe yaliyomkuta Tido Mhando baada ya kuombwa na Rais wa awamu ya 4 JK, aondoke kule Uingereza......
Aliporejea alidhani TBC ni kama BBC ambayo licha ya chombo hicho kuwa cha Umma ni free media isiyoegemea upande wa watawala.
Tido Mhando alipotaka kuifanya TBC iwe kama BBC, akakuta 'remote control' ya mtaa wa Lumumba inampiga STOP.......
Alipogomea maelekezo ya 'remote control' ya Lumumba ya namna ya kuendesha TBC, Tido akagomea....
Hapo ndiyo alipotafutiwa tiketi ya kutokea TBC.
Hebu jaribu kifikiria hivi huyu Ayoub Rioba ambaye ni Mkurugenzi wa TBC hivi ndiye yule yule kweli Ayoub Rioba wa Kabla hajawa Mkurugenzi wa TBC?
Jibu la wazi utakalopata ni kuwa They are 2 different people........
Na hiyo inatokana na kuwa Ayoub Rioba wa sasa amelazimika kwenda kuweka rehani taaluma yake ya habari pale mtaa wa Lumumba na hivi sasa 'job descriptions' zake anapewa na Katibu mwenezi wa pale Lumumba!
Tujikumbushe yaliyomkuta Tido Mhando baada ya kuombwa na Rais wa awamu ya 4 JK, aondoke kule Uingereza......
Aliporejea alidhani TBC ni kama BBC ambayo licha ya chombo hicho kuwa cha Umma ni free media isiyoegemea upande wa watawala.
Tido Mhando alipotaka kuifanya TBC iwe kama BBC, akakuta 'remote control' ya mtaa wa Lumumba inampiga STOP.......
Alipogomea maelekezo ya 'remote control' ya Lumumba ya namna ya kuendesha TBC, Tido akagomea....
Hapo ndiyo alipotafutiwa tiketi ya kutokea TBC.
Hebu jaribu kifikiria hivi huyu Ayoub Rioba ambaye ni Mkurugenzi wa TBC hivi ndiye yule yule kweli Ayoub Rioba wa Kabla hajawa Mkurugenzi wa TBC?
Jibu la wazi utakalopata ni kuwa They are 2 different people........
Na hiyo inatokana na kuwa Ayoub Rioba wa sasa amelazimika kwenda kuweka rehani taaluma yake ya habari pale mtaa wa Lumumba na hivi sasa 'job descriptions' zake anapewa na Katibu mwenezi wa pale Lumumba!