Elinewinga
JF-Expert Member
- Aug 16, 2011
- 632
- 175
Fani za watu zinapoingiliwa ndivyo mambo yanavyokuwa,riyoba alikuwa smati san lakini tangu amekwenda huko hasikiki tena sijui nini kimemkuta
ungekua wewe ungekubali kwenda kupokea mshahara wa laki tisa?Kisha apewe kuongoza TBC naona dalili za Dkt Ryoba kupwaya pale kama JPM alivomwuliza ikulu siku 'we unajitathmini vp' ....TBC 1 imepoteza mvuto kwa kipindi kirefu sasa,naamini huyu kijana Kikeke ataleta mabadiliko kwani si kaelimu anako kidogo. Au kama vipi mrudisheni Tido. hashtag [HASHTAG]#bringbackourtbc[/HASHTAG]
Kunywa Maji MwananguKisha apewe kuongoza TBC naona dalili za Dkt Ryoba kupwaya pale kama JPM alivomwuliza ikulu siku 'we unajitathmini vp' ....TBC 1 imepoteza mvuto kwa kipindi kirefu sasa,naamini huyu kijana Kikeke ataleta mabadiliko kwani si kaelimu anako kidogo. Au kama vipi mrudisheni Tido. hashtag [HASHTAG]#bringbackourtbc[/HASHTAG]
Kisha apewe kuongoza TBC naona dalili za Dkt Ryoba kupwaya pale kama JPM alivomwuliza ikulu siku 'we unajitathmini vp' ....TBC 1 imepoteza mvuto kwa kipindi kirefu sasa,naamini huyu kijana Kikeke ataleta mabadiliko kwani si kaelimu anako kidogo. Au kama vipi mrudisheni Tido. hashtag [HASHTAG]#bringbackourtbc[/HASHTAG]
NILIVYOMWELEWA MTOA MADA NI KUWA ANAOMBA SALIM KIKEKE ARUDI KUIOKOA TBC KWA SABABU IMEPOTEZA MVUTO 100% TOFAUTI NA ENZI ZA TIDO MHANDO. IKIWA TIDO ANGERUDI TBC UNGESHANGAA 75% YA WAANGALIA TV WANGEHAMIA TBC.
acha ujinga wewe jamaa. Kijana wa watu anafanya kazi nzuri huko BBC mpaka watanzania tunajivunia leo hii mnataka mmpoteze kama mlivomfanya TidoKisha apewe kuongoza TBC naona dalili za Dkt Ryoba kupwaya pale kama JPM alivomwuliza ikulu siku 'we unajitathmini vp' ....TBC 1 imepoteza mvuto kwa kipindi kirefu sasa,naamini huyu kijana Kikeke ataleta mabadiliko kwani si kaelimu anako kidogo. Au kama vipi mrudisheni Tido. hashtag [HASHTAG]#bringbackourtbc[/HASHTAG]
wacheni kutaka kuua vipaji vya watu akirudishwa hapa kwisha kazi yake ,,,,,,tbc aisimamie napeKisha apewe kuongoza TBC naona dalili za Dkt Ryoba kupwaya pale kama JPM alivomwuliza ikulu siku 'we unajitathmini vp' ....TBC 1 imepoteza mvuto kwa kipindi kirefu sasa,naamini huyu kijana Kikeke ataleta mabadiliko kwani si kaelimu anako kidogo. Au kama vipi mrudisheni Tido. hashtag [HASHTAG]#bringbackourtbc[/HASHTAG]
AZAM naona wamegundua kuwa ukiweka free channels kama ITV na nyingine hakuna anayeikumbuka hwa jamaa hivyo wakaamua kuziondoa. Juzi kati nikakuta king'amuzi kimeisha pesa na channel pekee iliyobakia kwa habari ni tbc nikaamua kuzima tv na kwenda kujisomea kitabu!Kisha apewe kuongoza TBC naona dalili za Dkt Ryoba kupwaya pale kama JPM alivomwuliza ikulu siku 'we unajitathmini vp' ....TBC 1 imepoteza mvuto kwa kipindi kirefu sasa,naamini huyu kijana Kikeke ataleta mabadiliko kwani si kaelimu anako kidogo. Au kama vipi mrudisheni Tido. hashtag [HASHTAG]#bringbackourtbc[/HASHTAG]
Mkuu nilikuwa natoa tu maoni,that's the level of my foolishness wahusika kama wanaona linafaa watalifanyia kazi au kuliacha kama halifai.acha ujinga wewe jamaa. Kijana wa watu anafanya kazi nzuri huko BBC mpaka watanzania tunajivunia leo hii mnataka mmpoteze kama mlivomfanya Tido
Tatizo pale sio kuongoza tatizo ni yale makw azo na miongozo anayokutana nayo pale ndio inamfanya afanye tuyaonayo siri ya mtungi aijuaye ...Atapotea
Kikeke siyo level ya TBc, unamkosea sana heshima!!