salamu zangu za mapenzi zimfikie....

thanks dear for ur wishes............................

heri yako weye utajfungia mahali, mwenzio miye nilipeleka applikesheni ya acccompany na sijapata majibu, hivyo bado nasubiri na hata sijui natasherehekea vipi!!!!!!!!!!!!!!
 
salam zangu ziende kwa ladies wooooooote wa JF i love you all - tupendane na tuzidishe mshikamo
rose1.gif


To all JF brotherz ......
544.gif


sikuwahi kujua kama wewe ni mbaguzi kiasi hiki......................!!
 
kwa brothas and sistaz wote humu JF

Valentine hii iwe ya upendo na baraka tele kwenu na ndugu zenu!
 
thanks dear for ur wishes............................

heri yako weye utajfungia mahali, mwenzio miye nilipeleka applikesheni ya acccompany na sijapata majibu, hivyo bado nasubiri na hata sijui natasherehekea vipi!!!!!!!!!!!!!!
duu kama bado hujapata majibu hadi dk hii unaweza uyapate valentine ikiwa imeshapita.lkn si nishabainisha vitu vingine vingi tu vyakufanya?
au kama vipi karibu uje utizame movie pamoja na mie na shem wako?
 
duu kama bado hujapata majibu hadi dk hii unaweza uyapate valentine ikiwa imeshapita.lkn si nishabainisha vitu vingine vingi tu vyakufanya?
au kama vipi karibu uje utizame movie pamoja na mie na shem wako?

asante sana dear nitajitahidi kuja manake hata mie nimeishakata tamaa ya applikesheni yangu kukubaliwa kabla ya valentino. sijui kama nitapata ndege kesho....oooh, ngoja nifanyefanye utaratibu kumconsult kanakansungu labda naweza kupata lift kwenye ungo japo na wenyewe huwa unajaa siku kama hizi............

happy vale.....
 
Back
Top Bottom