Salamu za rambirambi

Salamu za rambirambi

Junior Rutashoborwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2019
Posts
228
Reaction score
210
Kwa niaba ya familia ya Prof. Rutashoborwa LLB (Oxford, UK), LLM (Yale University, USA), PhD (Cambridge UK,) wa Manhattan, New York, NY, USA.

Tunatoa pole kwa uongozi mzima wa kasri
la kifalme Uingereza kwa kuondokewa na mtawala (Bibi yangu) Malkia Elizabeth.

Hakika ni uzuni kubwa kwa mataifa ya Common Wealth na ulimwengu kwa ujumla.
Nenda salama mtukufu Malkia.

Sitasahau wema wako kwetu sisi watoto wadogo enzi hizo tunacheza katika kasri lako. Ulitupenda sana mimi na Cathy na Edward Jr.

Raha ya milele umpe e Bwana,

Apumzike kwa amani.
 
So funny
Msiba wa Bibi hatulii tunayafurahia maisha yake

Ila wahaya downtown kitambo
 
Kwa niaba ya familia ya Prof. Rutashoborwa LLB (Oxford, UK), LLM (Yale University, USA), PhD (Cambridge UK,) wa Manhattan, New York, NY, USA.

Tunatoa pole kwa uongozi mzima wa kasri
la kifalme Uingereza kwa kuondokewa na mtawala (Bibi yangu) Malkia Elizabeth.

Hakika ni uzuni kubwa kwa mataifa ya Common Wealth na ulimwengu kwa ujumla.
Nenda salama mtukufu Malkia.

Sitasahau wema wako kwetu sisi watoto wadogo enzi hizo tunacheza katika kasri lako. Ulitupenda sana mimi na Cathy na Edward Jr.

Raha ya milele umpe ee Bwana..........

Apumzike kwa amani...
wewe ni mtoto wa mamluki @rutashobolwa Rutashobolwa ?
 
MKOA WA KAGERA UNASHIKA NAFASI YA MWISHO KATIKA PATO LA TAIFA.
 
maskini wakaishia kukoment ukabila hawakuona mada😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom