Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Mkuu,huu ndio ujinga wa sisi watanzania.Watu wana imani na mtu asiestahili kuaminiwa.Hiyo unayemshtakia naye kapiga za rambirambi atakusikia kweli?
Mkuu,huu ndio ujinga wa sisi watanzania.Watu wana imani na mtu asiestahili kuaminiwa.Hiyo unayemshtakia naye kapiga za rambirambi atakusikia kweli?
Wabunge wamepatikana tena toka Chadema mahakama ya nini tena, hivi akili hizi huwa mnazitolea sehemu gani?Hakuna tena kwenda mahakamani?Tundu Lissu alitishia kwenda mahakamani eti uchaguzi ulikuwa batili
Eti TLS ni ki saccos, ulikuwa zamani siku hizi ni mwendo wa kumwaga pumba.Tundu Lisu kila kitu anatishia kwenda mahakamani....
Halafu si alisema atampeleka Makonda mahakamani....?
Bado tu hajaenda?
Walivomshangalia kipindi kile cha uchaguzi wa ki Saccoss chao [TLS] ungedhani ni ujio wa pili wa yesu
Mkome mlichagua CCM kwa nguvu.JAMAN MNISAMEHE; KILIO CHANGU NI SISI WATUMISHI WA WILAYA YA ITILIMA KUCHANGISHWA MCHANGO WA MWENGE 5000 WATU WANAISHIA KUPAUA NYUMBA ZAO KWA MGONGO WA MWENGE MH. MAGUFULI MULIKA HUKU ITILIMA
....Comments za kujifurahisha, unaiweza kweli ligi ya Lissu?Tundu Lisu hajielewi.
...Very well said mkuu, hawajui wanasimamia nini...Tuambieni hiyo gender balance iko wapi sasa?Mbona hamkusema uchaguzi urudiwe kwasababu waliochaguliwa wote ni wanawake?
Nyinyi ni wanafiki wakubwa!
Imepenya kwako maana ndio kazi zenuItakuwa imepenya hiyo.....si bure!!!!!!!
Hiyo taarifa peleka TAKUKURU au kwa DC vinginevyo hayo ni majungu.JAMAN MNISAMEHE; KILIO CHANGU NI SISI WATUMISHI WA WILAYA YA ITILIMA KUCHANGISHWA MCHANGO WA MWENGE 5000 WATU WANAISHIA KUPAUA NYUMBA ZAO KWA MGONGO WA MWENGE MH. MAGUFULI MULIKA HUKU ITILIMA
Duh! Hii kali!!MUNGU wakati mwingine anatuachaniza sana! Yaani anenda kuchukua roho za wale malaika wadogo anatuachia mibunge ya CCM? Kwa nini asiyasubiri yako kwenye caucus anaporomosha jumba lote mara moja?
Wabunge wa CCM walikuwa sawa na 'label stamp' tu na wao waonekane kama wameshiriki, kwa sababu waliochaguliwa wote waliteuliwa na kamati kuu ya Chadema maana yake chama kilishawaamini kabla hata ya wabunge wa CCM kuwapigia kura.ccm ni wanafiki lakini chadema ni wapuuzi..... Kete ilikua ni moja tuu leta watatu basi. Ccm walikua hawana jeuri ya kuteua wote wanawake busara zaidi inapaswa kutumika kuliko ujuaji mwingi.
Kwa mawazo haya nadhani wewe ndio utakaetangulia mbele ya hakiMUNGU wakati mwingine anatuachaniza sana! Yaani anenda kuchukua roho za wale malaika wadogo anatuachia mibunge ya CCM? Kwa nini asiyasubiri yako kwenye caucus anaporomosha jumba lote mara moja?
Kwa DC? I don't think inawezekana DC ndiye aliyetoa wazo la kuchangia inawezekana pia ndiye anayesimamia watu kuchangishwa.Hiyo taarifa peleka TAKUKURU au kwa DC vinginevyo hayo ni majungu.
Ndio faida zakukata upinzani hizoJAMAN MNISAMEHE; KILIO CHANGU NI SISI WATUMISHI WA WILAYA YA ITILIMA KUCHANGISHWA MCHANGO WA MWENGE 5000 WATU WANAISHIA KUPAUA NYUMBA ZAO KWA MGONGO WA MWENGE MH. MAGUFULI MULIKA HUKU ITILIMA
Mapenzi ya Chadema yalikuwa kwa Masha na Wenje, sio kwa hao wadada. Kaangalie matokeo ya kura utaelewaWabunge wa CCM walikuwa sawa na 'label stamp' tu na wao waonekane kama wameshiriki, kwa sababu waliochaguliwa wote waliteuliwa na kamati kuu ya Chadema maana yake chama kilishawaamini kabla hata ya wabunge wa CCM kuwapigia kura.
Duh, unaonekana unagubu kweli na Lissu! Sijui ni hasira za kubaguliwa huko uboxini au nini.Tundu Lisu kila kitu anatishia kwenda mahakamani....
Halafu si alisema atampeleka Makonda mahakamani....?
Bado tu hajaenda?
Walivomshangalia kipindi kile cha uchaguzi wa ki Saccoss chao [TLS] ungedhani ni ujio wa pili wa yesu
hawa sio waliotakiwa na sultani mbowe.Wabunge wamepatikana tena toka Chadema mahakama ya nini tena, hivi akili hizi huwa mnazitolea sehemu gani?
Kesi imefutwa mahakamani? .Wabunge wa CCM walikuwa sawa na 'label stamp' tu na wao waonekane kama wameshiriki, kwa sababu waliochaguliwa wote waliteuliwa na kamati kuu ya Chadema maana yake chama kilishawaamini kabla hata ya wabunge wa CCM kuwapigia kura.