Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,153
- 11,557
Nimejiskia kumshukuru Mungu kwa niaba Yako na Yangu kwa zawadi ya Uhai na Afya njema alizotujalia, hata tunasomana muda huu humu hapa JF.
Ninakuombea Baraka na Neema tele za Mungu wewe ulieanza anza kazi tayari na wewe na unaye elekea kwenye majukumu mbalimbali ya kukupatia riziki.
Mwenyezi Mungu abariki Mipango, Fikra, Mawazo na kazi zako zote kwa maneno na matendo.
Abariki kazi za mikono Yako. Amen
Nikutakie Majukumu Mema ya Leo.
Ninakuombea Baraka na Neema tele za Mungu wewe ulieanza anza kazi tayari na wewe na unaye elekea kwenye majukumu mbalimbali ya kukupatia riziki.
Mwenyezi Mungu abariki Mipango, Fikra, Mawazo na kazi zako zote kwa maneno na matendo.
Abariki kazi za mikono Yako. Amen
Nikutakie Majukumu Mema ya Leo.