Naam mkuu. Anasindwa kuelewa kwamba kuna chamce hata yeye hakua mtoto wa baba yakeEti ungeishi nae ila tatizo ana watoto. Hivi kwani hao watoto wana tatizo gani?
Fikra za kichoyo na kimaskini.
ukivaa wew na hayo mapaja laini ni hatarSasa mbona anatuzungusha?
Kavaliwa hadi kagauni kafupi lakini bado wanazungushana.
Uliyaona wapi?ukivaa wew na hayo mapaja laini ni hatar
beachUliyaona wapi?
Kakojoe ulale. Mida ndo hii.beach
Kabisa, kuna mmoja nilimtoa kisiasa sana baada ya kutumia nguvu kushindikana,yan kuna wanawake ukiwa nae hata umuue hatotaka muachane
Kuna kigogo, mchikichini, magomeni etc...usikaririKodi 180K kwa miezi 6 kwa Dar labda Mbagala maana ni 30k kwa mwezi.