Petro Oswald
JF-Expert Member
- Aug 17, 2015
- 2,323
- 1,713
Fanya Chap bro...
Fanya Chap bro...
Kwa uelewa wako umeona hapo najisifu?Kwahiyo mwanangu unaandika nyuzi kujisifu ulivyomtombea mpambanaji mwenzio utadhani we mwarabu wa dubai mwe visima wakati nawe mtafutaji ka wengine...amini usipokuja nawe pelekewa moto sijui.. Bro code heshim mke wa mtu watoto wa kike kibao mtaan
we endelea tu mzee...watoto wa kiume wanaliwaga kiboga...na ukiendeleza hizo tabia usije geuzwa...katika vitu nisivyovikubali ni huo usela mavi...bora dem angekupa ngwengwe tu ungenyoka...Kwa uelewa wako umeona hapo najisifu?
Siamini kama hii post umetuma wewe,au imejipost??Unatuzungusha sana.
Ulikula mzigo ama haukula?
Mnapeana namba mpya tu na kusalimiana.
Kwani dadako huyo?🙄🙄
Mbona unanilalamikia au ni mke wako nilimtafuna?🤪 Mbebe mkeo mgongoni kama unataka awe salamawe endelea tu mzee...watoto wa kiume wanaliwaga kiboga...na ukiendeleza hizo tabia usije geuzwa...katika vitu nisivyovikubali ni huo usela mavi...bora dem angekupa ngwengwe tu ungenyoka...
Kwani post yenyewe inasemaje? 🤣Siamini kama hii post umetuma wewe,au imejipost??
Comment za namna hii zimechangia Episode kutokuwa mbili.Unatuzungusha sana.
Ulikula mzigo ama haukula?
Ametuzungusha sana.Heading : Salamu yangu ilivyovunja ndoa ya mtu.
Lengo la mtoa uzi lilikuwa ni kupika ugali ila kupitia comments za wakuu (Ulikula mbususu??) nikaona jamaa anaanza kutia maji kwenye sufuria, hatimaye uji ukawa umepatikana.
Ep 3 :Ya mwisho hii, nikajua ndiyo the end...Ametuzungusha sana.
Half baked suspense.
Sijui Ana mpango ganii na sisi.Ep 3 :Ya mwisho hii, nikajua ndiyo the end...
Mara hitimisho ambayo ni Ep ya 4... 😀
kumkataa Khumbu mwenye kalio la kukung'uta sniafu nayo kaziIt's very easy. Angemkataa tangu mwanzoni wasingefika huku kwenye nataka sitaki.
Sasa mbona anatuzungusha?kumkataa Khumbu mwenye kalio la kukung'uta sniafu nayo kazi