Salamu ya Lowassa kwa wananchi ni kejeli?

Salamu ya Lowassa kwa wananchi ni kejeli?

CosaNostra

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
382
Reaction score
139
Angalia salamu maalum ya Lowassa - Wanasema: Mabadiliko Lowassa.... then Lowassa mabadiliko. Mikono inavyozungushwa inaonesha kwenda mbele kisha kurudi nyuma, hii ina maana gani?

Ebu jaribu kuzungusha kitufe cha sauti cha redio - toka chini hadi mwisho na kurudi tena chini , utakuwa umewasha Redio kisha na kuzima.
Au nenda clockwise then rudi anticlockwise the same degree, hatua ngapi utakuwa umepiga?

Kifupi: Lowassa anajua hawezi kufanya kazi - amechoka mwili na akili, ndio maana hata anachanganya mambo kila uchao.

Hii salamu yake ni kuwaambia wajinga nawazungusha mbele na nyuma, mnarudi pale pale.

Kifupi hii ni kejeli.
 
hizi hesabu kama zinagoma..
Kwa mujibu wa NEC
*idadi ya wapiga kura
=mil 22.7
*idadi ya vituo vya kupigia kura
=64736
*idadi ya wapiga kura kila kituo =450.
HAPA UKIKOKOTOA JUMLA YA WAPIGA KURA
=64736X450
=mil 29.1
 
Hiyo salamu ilianzishwa na MBOWE kwa utashi wake,sio kila kitu kinatafsiri moja unayowaza wewe,weka sera za chama chako mambo ya LOWASSA waachie wenyewe watakaompa KURA,wewe mpe kura yako yule anayesema kazi tu,japokuwa wengi wenu hamna kazi,na ukiisha uchaguzi huu wengi wenu posho ya bundle itakuwa imekatwa Lumumba na kutoonekana hapa JF.

Angalia salamu maalum ya Lowassa - Wanasema: Mabadiliko Lowasa.... then Lowassa mabadiliko. Mikono inavyozungushwa inaonesha kwenda mbele kisha kurudi nyuma, hii ina maana gani?
Ebu jaribu kuzungusha kitufe cha sauti cha redio - toka chini hadi mwisho na kurudi tena chini - utakuwa umewasha REDIO KISHA KUIZIMA.
Au nenda clockwise then rudi anticlockwise the same degree, hatua ngapi utakuwa umepiga?
Kifupi: Lowasa anajua hawezi kufanya kazi - amechoka mwili na akili, ndio maana hata anachanganya mambo kila uchao.
Hii salamu yake ni kuwaambia wajinga nawazungusha mbele na nyuma, mnarudi pale pale. Kifupi hii ni kejeli.
 
hizi hesabu kama zinagoma..
Kwa mujibu wa NEC
*idadi ya wapiga kura
=mil 22.7
*idadi ya vituo vya kupigia kura
=64736
*idadi ya wapiga kura kila kituo =450.
HAPA UKIKOKOTOA JUMLA YA WAPIGA KURA
=64736X450
=mil 29.1

Lubuva anataka aozee icc mwaka huu
 
mabadilikooo lowasaaa zungusha nyuma
lowasaaaa mabadilikoooo zungusha mbele
sasa zungusha iko kitufe(lowasa) clockwise kitaongeza sauti alafu geuza redio juu chini(mabadiliko) alafu zungusha tena kitufe uone km itaongezeka au itapungua.
Punguani wewe,tulia dozi ya lowasa ikuingie

Umeona eeeh?
 
Angalia salamu maalum ya Lowassa - Wanasema: Mabadiliko Lowasa.... then Lowassa mabadiliko. Mikono inavyozungushwa inaonesha kwenda mbele kisha kurudi nyuma, hii ina maana gani?
Ebu jaribu kuzungusha kitufe cha sauti cha redio - toka chini hadi mwisho na kurudi tena chini - utakuwa umewasha REDIO KISHA KUIZIMA.
Au nenda clockwise then rudi anticlockwise the same degree, hatua ngapi utakuwa umepiga?
Kifupi: Lowasa anajua hawezi kufanya kazi - amechoka mwili na akili, ndio maana hata anachanganya mambo kila uchao.
Hii salamu yake ni kuwaambia wajinga nawazungusha mbele na nyuma, mnarudi pale pale. Kifupi hii ni kejeli.

Kati ya viaza wa mwezi ni wewe
 
hizi hesabu kama zinagoma..
Kwa mujibu wa NEC
*idadi ya wapiga kura
=mil 22.7
*idadi ya vituo vya kupigia kura
=64736
*idadi ya wapiga kura kila kituo =450.
HAPA UKIKOKOTOA JUMLA YA WAPIGA KURA
=64736X450
=mil 29.1

Mil 29.1 - mil 22.7 = mil 4.4,
Mil 4.4 ÷ idadi ya kila kituo 450 = 9777.7~ 9778

Vituo 9778 ni wizi., au ndio go......
 
Imekubamba eeh?Hii salamu tamu sana,hongera Mh. Mbowe na wenzio kwa ubunifu wa hii kitu.
 

Attachments

  • 1444717714088.jpg
    1444717714088.jpg
    37.1 KB · Views: 439
Back
Top Bottom