frenderPH
JF-Expert Member
- Oct 30, 2019
- 619
- 806
Kama kichwa cha habari kinavyosema, ninapenda kujua tu Kwa upende niliokulia mimi sio sawa kwa mtu ninayemzidi umri kuniambia UJAMBO bali hii salamu ni kwa ajili ya mtu mzima akimwambia mtu mdogo ambae ni tegemezi kwake mfano
Baba: Ujambo mwanangu?
Mtoto kama kuna inshu inamtatiza atajibu NINA JAMBO na kama hana shida yoyote atajibu SIJAMBO.
Sasa leo katika pita pita zangu hapa kitaa ninapokaa, kuna binti Jirani na nimtoto wa 2004 ila anamwili mkubwa, hatujawahi kuongea wala kusalimiana cuz ni aina ya binti wale maslay queen ambao kwa upande wangu sio type yangu, ila hua uwa tunaonana kwa mbali na the way anavyoniangalia ni mithiri ya kwamba anahitaji kuongea na mimi, waliosoma saikolojia wanaelewa cuz unaweza kumsoma mtu kwa body language na facial expression anayoionesha kwako. Basi leo kipindi natoka Job nimemkuta ameketi kibalazani kwao na kwakua njia iko karibu na kibalaza chao nikaona sio mbaya nikimpa hai Convo ilikua hivi
Me: Za saizi binti
Her: Salama aka-pause alafu then UJAMBO?
Me: Nini?
Her: Ujambo?
Me: Mmh hii mpya
Nikamuacha anacheka huku hajiamini flani hivi
Sasa sijui kama nimemjibu vibaya au laa hio kwangu sio inshu cuz sina time nae, ninachotaka kujua ni hii salamu ya UJAMBO inafaa kuulizwa na mtoto mdogo kweli au mimi ukoloni unanisumbua?
Baba: Ujambo mwanangu?
Mtoto kama kuna inshu inamtatiza atajibu NINA JAMBO na kama hana shida yoyote atajibu SIJAMBO.
Sasa leo katika pita pita zangu hapa kitaa ninapokaa, kuna binti Jirani na nimtoto wa 2004 ila anamwili mkubwa, hatujawahi kuongea wala kusalimiana cuz ni aina ya binti wale maslay queen ambao kwa upande wangu sio type yangu, ila hua uwa tunaonana kwa mbali na the way anavyoniangalia ni mithiri ya kwamba anahitaji kuongea na mimi, waliosoma saikolojia wanaelewa cuz unaweza kumsoma mtu kwa body language na facial expression anayoionesha kwako. Basi leo kipindi natoka Job nimemkuta ameketi kibalazani kwao na kwakua njia iko karibu na kibalaza chao nikaona sio mbaya nikimpa hai Convo ilikua hivi
Me: Za saizi binti
Her: Salama aka-pause alafu then UJAMBO?
Me: Nini?
Her: Ujambo?
Me: Mmh hii mpya
Nikamuacha anacheka huku hajiamini flani hivi
Sasa sijui kama nimemjibu vibaya au laa hio kwangu sio inshu cuz sina time nae, ninachotaka kujua ni hii salamu ya UJAMBO inafaa kuulizwa na mtoto mdogo kweli au mimi ukoloni unanisumbua?