Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Nimepokea salamu kutoka kwa mchungaji Masanilo kwa kupitia ujumbe mfupi anawasalimu sana, anasema yeye anaendelea fresh na kifungo alicho pewa, kifungo kikiisha Inshallah tutawakuwa nae tena. Ila anawamiss sana wapwaz wote pia na kondoo wake wote kwa ujumla.
Anawapenda hata wabaya wake
Kama Ujumbe wake unavyo sema hapo juu. Yeye bado yupo zenji