Salamu kwa 1st year.

Salamu kwa 1st year.

Kheri humu ndani,

Kuna kipindi kinafika naanzaga kuaminigi kile kisa cha watoto wa Nuhu kumchungulia. Kama ukijui soma kitabu cha Mwanzo.

Ujio wa smsrtphone nchini Tanzania umeendana sambamba na ujio wa ujinga wa kiwango cha juu Tanzania.

Unakutana na litoto la maskini linasoma chuo cha serikali, linalipwa pesa kila baada ya miezi kadhaa...badala ya kusaidia nyumbani hats kidogo. Linanunua Simu Apple (IPhone), Laptop ya ya Apple na kofia ya Apple. Eti linajilinganisha na watoto wa matajiri ambao kwao pesa zipo tele.


Unakutana na lidada jingine, limeenda chuo na nguo za heshima, sketi nzuri na magauni ya heshima. Linakutana na misekandi iya na masedi iya. Makrumbembe yaliyoshindikana, linaanza kuinga maisha ya kishamba waishio watu wa mjini hasa hasa madangaji. Linaishia kupewa mimba na maradhi juu. Eti linaanza na kubagua vyakula na wakati kwao milo mitatu ya maviazi paper la maths.

Kuna baadhi ya majinga, yanakuja JF kulalamika eti maisha magumu na wakati kila siku liko online sijui linazipata wapi hizo hela za kununua bando.

Tufanyeni kazi jamani, majungu na lawama sio issue.
Kama unastress pita tu hata usi comment...ntakushushia....
matusi hayajengi
 
Kazi na dawa,mda wa kusoma unasoma na mda wa kurelax unarelax
 
Back
Top Bottom