B Banner Member Joined Oct 6, 2011 Posts 5 Reaction score 3 Oct 13, 2011 #1 Kwakua ni mara yangu ya kwanza kujiunga nanyi,natanguliza salamu kwa wote wanachama naomba ushirikiano wenu katika kuchangia hoja mbali mbali
Kwakua ni mara yangu ya kwanza kujiunga nanyi,natanguliza salamu kwa wote wanachama naomba ushirikiano wenu katika kuchangia hoja mbali mbali
Daffi Jr JF-Expert Member Joined Jun 25, 2011 Posts 3,824 Reaction score 909 Oct 13, 2011 #2 Karibu jukwaani!!!japo umekosea kuingia bila kusalimia wakubwa!!!usirudie tena
Roulette JF-Expert Member Joined Dec 15, 2010 Posts 5,568 Reaction score 5,388 Oct 13, 2011 #3 Umeingia kusiko. ungeanza jukwaa la kujitambulisha. hujachelewa, anzisha thread kule, upokelewe na welcome comitee (kina katavi na aminata, lol)
Umeingia kusiko. ungeanza jukwaa la kujitambulisha. hujachelewa, anzisha thread kule, upokelewe na welcome comitee (kina katavi na aminata, lol)
A Ave Ave Maria JF-Expert Member Joined Apr 22, 2011 Posts 10,707 Reaction score 5,679 Oct 13, 2011 #4 Hivi umepitia mlango gani vile? Heheheee.......karibu sana!!
Viol JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 25,419 Reaction score 18,364 Oct 14, 2011 #5 We ni jinsia gani?kama ya kike mi ndo niko mapokezi
AMINATA 9 JF-Expert Member Joined Aug 6, 2011 Posts 2,120 Reaction score 642 Oct 14, 2011 #6 Excellent said: We ni jinsia gani?kama ya kike mi ndo niko mapokezi Click to expand... hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimeipenda sana hii
Excellent said: We ni jinsia gani?kama ya kike mi ndo niko mapokezi Click to expand... hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimeipenda sana hii
Viol JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 25,419 Reaction score 18,364 Oct 14, 2011 #7 AMINATA 9 said: hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimeipenda sana hii Click to expand... Amina naomba pliz kama wewe pia ni mgeni tukutane kule pm kwenye sebule ya mapokezi
AMINATA 9 said: hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimeipenda sana hii Click to expand... Amina naomba pliz kama wewe pia ni mgeni tukutane kule pm kwenye sebule ya mapokezi
N Njabecom New Member Joined May 23, 2011 Posts 3 Reaction score 0 Oct 14, 2011 #8 zimba,wa r chuga nimetimba,kazi kama kimba,hapa hakuna kuimba,hapa ni ngumu alafu nyeusi tuu kama lostboy.
zimba,wa r chuga nimetimba,kazi kama kimba,hapa hakuna kuimba,hapa ni ngumu alafu nyeusi tuu kama lostboy.