Salamaa

Salamaa

Banner

Member
Joined
Oct 6, 2011
Posts
5
Reaction score
3
Kwakua ni mara yangu ya kwanza kujiunga nanyi,natanguliza salamu kwa wote wanachama naomba ushirikiano wenu katika kuchangia hoja mbali mbali
 
Karibu jukwaani!!!japo umekosea kuingia bila kusalimia wakubwa!!!usirudie tena
 
Umeingia kusiko. ungeanza jukwaa la kujitambulisha. hujachelewa, anzisha thread kule, upokelewe na welcome comitee (kina katavi na aminata, lol)
 
We ni jinsia gani?kama ya kike mi ndo niko mapokezi
 
zimba,wa r chuga nimetimba,kazi kama kimba,hapa hakuna kuimba,hapa ni ngumu alafu nyeusi tuu kama lostboy.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom