xoxo ndo nini?
Wewe ni ke au me?
Mke wa mtu au mme wa mtu?
Afu ndo ntakukaribisha, mie ndo dume la mbegu au jogoo la mtaa huu.
mbona mkwara mzito kidume???halafu mi mwenyewe mgeni ila naonaga post zako wewe ni mtetea bana?acha kujichanganya lol.
Asante dada Aisha, Kongosho hayo mengine sidhani kama yatakusaidia chochote hata ukifahamu.
sasa kumbe unajua uko fomu wani afu unataka kukokotoa ya fomu foo?
Utayaweza?
Wee mke wa mtu au unapepea tu?
Natafuta wa kumtagisha.
karibu sana ila pia vaa chupi la chuma huku mmu kuna mambo.
sasa kumbe unajua uko fomu wani afu unataka kukokotoa ya fomu foo?
Utayaweza?
Wee mke wa mtu au unapepea tu?
Natafuta wa kumtagisha.
Kongosho Hajibebi mtu hapa, we ndo wale unapewa lifti unataka kupiga na honi kabisa....hayo mengine hayakuhusu, ungeweza kukaa kimya pia ni vizuri zaidi.