ilboru1995
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,329
- 268
- Thread starter
- #81
Mhe. Lowassa, nikiwa kama mtanzania wa kawaida sana mwenye kukabiliwa na hali ngumu ya kimaisha, nakiri kuwa wewe ni mchapakazi mahiri kiongozi mwenye maamuzi! labda kimtazamo hapo nyuma nilijengewa hisia za kukuhofia kuwa wewe ni Jambazi Mnyonyaji muuaji wa kutisha ndiyo maana nikakuchukia kwa dhaati sana.
Nchi yetu sasa inaogelea kwa kuzunguka mduara kwani hatuna dira! wewe mwenye dira huaminiki husafishiki kwa jiki... tfadhali jibu hoja za msingi hata ikibidi tuombe radhi sisi wananchi ikiwezekana tukupe nafasi tena ya kutupeleka kwenye nchi ya ahadi ILEEEE... TANZANIA YENYE KUPENDEZA...
Nchi yetu sasa inaogelea kwa kuzunguka mduara kwani hatuna dira! wewe mwenye dira huaminiki husafishiki kwa jiki... tfadhali jibu hoja za msingi hata ikibidi tuombe radhi sisi wananchi ikiwezekana tukupe nafasi tena ya kutupeleka kwenye nchi ya ahadi ILEEEE... TANZANIA YENYE KUPENDEZA...