Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,802
- 71,229
Mie sina itikadi ya chama yoyote ila namkubali sana Lowassa hapa issue sio kubadili chama bali kubadili mfumo mzima majuzi report ya CAG imeonyesha jinsi chadema walivyoponda ruzuku ya chama halafu unataka niwe chama fulani?mie naitaji mtu mithili ya Kagame na huyo hapa kwetu ni Lowassa tu
Ile ripoti ya CAG imesema hivyo? Mbona hamuoni aibu kusema uongo usio saidia jambo? Au tafsiri ya ripoti ile imekushinda? Ok tuje huku home, hivi Lowasa waweza kumlinganisha kwa lipi na Kagame? Kwa taarifa yako Kagame hatuhumiwi lolote la kifisadi na wananchi wake. Ila huyu waweza kumtetea upendavyo ukisema ushahidi uko wapi, sawa ila kuna msemo kuwa ukitaka kumjua mtu angalia rafiki zake, nasi tumeshaangalia rafiki za Edo na tabia zao tumezijua kama Rostam, Karamagi nk