nyinyi ndio walewale mlioandikwa kwenye gazeti la kashesheKwa taarfa yako lowasa hana wapambe njaa mdmu wewe
huna jipya maneno meng Ila ukwel unaujua kuwa lowasa ndio anafaa
MwKa huu ukawa ndo jibu la watanzania
yeye NYAMALINGO kafikisha ujumbe kwa wale wanaosindikiza kwa jaza na hasa wasiomjue EL km TeamLowassa na safari yao ya matumainiNyamalingo,pole sana hao wote wanaomshabikia Mzee Lowa-Hassa hiyo ahadi hawaijui,na siyo hiyo tu hata Katiba ya TANU na CCM hawazijui,hivyo sidhani kama umewasaidia zaidi sana watakuponda tu..............
wakati wa richmond lowasa alienda kuomba ushauri kwa rostam amekili mwenyewe aliacha kufata hata ushauri wa mwanasheria mkuu na sasa hivi rostam yuko nae bega kwa bega akizungukwa na wakina karamagi,tibaijuka huku kina chenge wakijificha pembeni na hata baada ya mzee kasori kusema ukweli alitishia kumuua huyu mtu wanayempigia debe hafai na wala hatakuwa rais wanaojifanya wapambe wake wako pale kwa ajili ya kumlia pesa alizotuibia watanzania
yeye NYAMALINGO kafikisha ujumbe kwa wale wanaosindikiza kwa jaza na hasa wasiomjue EL km TeamLowassa na safari yao ya matumaini
lakini habari zote hizo zipo mezani kwa wale UWT wanaochuja majina ili kuyapeleka NEC-CCM
mambo mengi tu yapo Capacity charge za Tanesco
Vocha za alphatel nk
tusibiri July 12, 2015 sio mbali
Bahati nzuri sana hakuna hata moja katika habari hiyo ambalo Lowassa anaweza kukanusha!Huyu mtoa hoja atanisamehe kwa sababu ameandika kitu ambacho hakina kichwa wala miguu kwa sababu tu ya mandazi aliyonunuliwa mgahawani kwa kigezo cha kumchafua lowassa ili tajiri wake wa kahawa vichochoroni aweze kumwongezea vikombe vya chai. Hebu huyu mwandishi wa hii post, ajaribu kutueleza kwenye jukwaa hili kuwa dhumuni hasa la kwake la kuandika thread hin nini???? lazima kuna kitu unataka watanzania wakielewa kuhusiana na lowassa na mbio zake za urais. unachuki binafsi sana, hufai hata kidogo kupewa ubalozi wa nyumba, hufai kuwa mshauri wa tanzania kwa sababu tu wewe ni mtu mwenye chuki usiyefaa kwenye jamii ya watanzania waliokwisha fahamu ukweli na kila kitu kuhusu magazeti yenu ya udaku mnayoandika kila mara kuhusu lowassa. Mbona haujaanzisha makala ya kwanini AZIMIO LA ARUSHA LILIFUTWA???? NA KAMA UNATAKA KUMUENZI BABA WA TAIFA KWA KUMNYIMA LOWASSA HAKI YAKE LAKINI MASUALA YA USAWA, HAKI, VIWANDA NA AZIMIO LA ARUSHA LILILOKUWA KINYUME NA RUSHWA LIMEFUTWA, nini hiki unataka watanzania wakielewe tena heti kwa Lowassa tu kutokana na alichokisema baba wa taifa???? mwaka huu mtahaha sana but the president ni lowassa.