Salaam kwa Mh. Edward Lowassa na wenzake

Salaam kwa Mh. Edward Lowassa na wenzake

Ukifuata safari ya matumaini utahesabiwa!
Hii safari sio matumaini ya kufa kweli na kuhesabiwa mbinguni/motoni?
Shaka.Mimi naenda na safari ya Imani na Uhakika.
Safari ya Matumaini ya waathirika mimi simo
 
Mimi bado sijamuona hata mtu mmoja, ambaye anayeweza kuthibitisha kuwa lowasa ni fisadi, ila nasikia tu maneno ya vijiweni, kuhusu uadilifu wa lowasa, sina shaka nao, na kuhusu uongozi, mifano wote tumeiyona, so mpaka sasa sijamuona wa kumpa kura yangu tanzania zaidi ya lowasa.
 
Huyu mtoa hoja atanisamehe kwa sababu ameandika kitu ambacho hakina kichwa wala miguu kwa sababu tu ya mandazi aliyonunuliwa mgahawani kwa kigezo cha kumchafua lowassa ili tajiri wake wa kahawa vichochoroni aweze kumwongezea vikombe vya chai.

Hebu huyu mwandishi wa hii post, ajaribu kutueleza kwenye jukwaa hili kuwa dhumuni hasa la kwake la kuandika thread hin nini???? lazima kuna kitu unataka watanzania wakielewa kuhusiana na lowassa na mbio zake za urais. unachuki binafsi sana, hufai hata kidogo kupewa ubalozi wa nyumba, hufai kuwa mshauri wa tanzania kwa sababu tu wewe ni mtu mwenye chuki usiyefaa kwenye jamii ya watanzania waliokwisha fahamu ukweli na kila kitu kuhusu magazeti yenu ya udaku mnayoandika kila mara kuhusu lowassa.

Mbona haujaanzisha makala ya kwanini AZIMIO LA ARUSHA LILIFUTWA???? NA KAMA UNATAKA KUMUENZI BABA WA TAIFA KWA KUMNYIMA LOWASSA HAKI YAKE LAKINI MASUALA YA USAWA, HAKI, VIWANDA NA AZIMIO LA ARUSHA LILILOKUWA KINYUME NA RUSHWA LIMEFUTWA, nini hiki unataka watanzania wakielewe tena heti kwa Lowassa tu kutokana na alichokisema baba wa taifa???? mwaka huu mtahaha sana but the president ni lowassa.
 
Kanusha hoja kwa hoja. Ubishi wa kukanusha hoja bila hoja ni upumba.vu na ni silaha kubwa ya majitu majuha yasiyotumia vichwa wala hayana uwezo wa kureason ila yanaendeshwa kwa ushabiki bila hata kufikiria athari za matendo yanayofanya kata kwa familia zao achilia mbali nafsi zao.

Siamini kama na wewe uko katika kundi la mijitu hii mijuha niliyoielezea. Kwa hiyo ninategemea hapa sasa utatiririka na ukweli unaoufahamu ambao unathibitisha kwama hoja alizoziandika mtoa mada hazipo na si kwa kweli.uk

Tunategemea utakuja na hoja mbadala itakayoonyesha kwamba yanayosemwa hapo juu kuhusu uchafu wa lowasa si ya kweli na hayapo ili tuchambue na kuona uwongo wa mtoa mada. I hope utafanya hivyo kwa kuwa najua wewe huna sifa za miburura niliyoielezea hap.

Tunakusubiri Mkuu, leta hoja!.





huna jipya maneno meng Ila ukwel unaujua kuwa lowasa ndio anafaa
 
Kwa zinavyokutuma wewe, unaona kwamba uchafu wote wa Lowasa ni halali tu kwa Watanzania kwa kuwa azimio la Arusha
lilifutwa!!!!!!!

Aliyefuta Azimio la Arusha ni nani?

Haki ya Lowasa ni ipi hiyo na alipewa na nani?


E bwana eeh!. Umekunywa madumu mangapi?


Huyu mtoa hoja atanisamehe kwa sababu ameandika kitu ambacho hakina kichwa wala miguu kwa sababu tu ya mandazi aliyonunuliwa mgahawani kwa kigezo cha kumchafua lowassa ili tajiri wake wa kahawa vichochoroni aweze kumwongezea vikombe vya chai. Hebu huyu mwandishi wa hii post, ajaribu kutueleza kwenye jukwaa hili kuwa dhumuni hasa la kwake la kuandika thread hin nini????  lazima kuna kitu unataka watanzania wakielewa kuhusiana na lowassa na mbio zake za urais. unachuki binafsi sana, hufai hata kidogo kupewa ubalozi wa nyumba, hufai kuwa mshauri wa tanzania kwa sababu tu wewe ni mtu mwenye chuki usiyefaa kwenye jamii ya watanzania waliokwisha fahamu ukweli na kila kitu kuhusu magazeti yenu ya udaku mnayoandika kila mara kuhusu lowassa. Mbona haujaanzisha makala ya kwanini AZIMIO LA ARUSHA LILIFUTWA???? NA KAMA UNATAKA KUMUENZI BABA WA TAIFA KWA KUMNYIMA LOWASSA HAKI YAKE LAKINI MASUALA YA USAWA, HAKI, VIWANDA NA AZIMIO LA ARUSHA LILILOKUWA KINYUME NA RUSHWA LIMEFUTWA, nini hiki unataka watanzania wakielewe tena heti kwa Lowassa tu kutokana na alichokisema baba wa taifa???? mwaka huu mtahaha sana but the president ni lowassa.
 
Mtatunga kila aina ya hekaya safari hii, Ila LOWASA mnaye tu!

Hii ndio safari ya matumaini.!!
 
Mkuu NSSF DAMU hayo si maneno ya NYAMALINGO la hasha hayo ni maneno ya Mzee Kasori msaidizi wa Mwl Nyerere baada ya kustaafu uRais na nafasi ya Mwenyekiti wa chama.

Mzee Kasori tulikaa naye mtaa wa uzunguni Arusha nyumba yake ikitazamana na nyumba ya Dr Swai mratibu wa TB na Ukoma,mkono wa kushoto akipakana na Mhakiki mali kanda ya kaskazini Bwana Nkya,ukienda mbele kidogo unakuna na Bwana Munisi Mkurugenzi wa Mamlaka ya maji Arusha.

Mke mdogo wa Mzee Kasori akifanya kazi Hospital ya Mt Meru.......Mzee Kasori alipohamishiwa Butiama wakati huo akiwa Protocal Officer ofisi ya mkuu wa mkoa tunamjua na tulimuaga na kumtakia kazi njema.

Huyo Lowassa wenu itabidi mfanya kazi ya ziada kumsafisha kwasababu ni mchafu kila mahali wote waliopuuza ushauri wa Baba wa taifa Mwl Nyerere walikujabaini kumbe Mzee Kifimbo alikuwa sahihi kabisa including JK wa Msoga.

Maelezo hayo umeshindwa kuleta vilelezo na ushahidi unajitosheleza,pole sana naona unaingia ktk mkumbo ambao mwisho wa siku utakuja kujuta ambapo wenzako utakuta washahesebiwa,wewe na huyo mtangazania wako mnatakiwa kujenga hoja za namna ya kuwasaidia watanzania lakini sio hizo sera za kupakana matope ambazo zimeshachuja na watanzania sasa wanajua ukweli na uongo kwa hizo tuhuma za uongo dhidi ya Lowassa hatudanganyiki kwani sie chaguo letu ni White hair in white house 2015.
 
Last edited by a moderator:
Ninakushangaa wewe na hata mda wa kubishana na mtu asiyekuwa na lugha ya staha sina. nitakuwa nadhalilisha hadhi yangu na utu wangu kwa watanzania wanaotaka kuelimika kupitia mijadala hii. JIJIBU KAMA HUJI ALIYEFUTA AZIMIO LA ARUSHA. TUHUMA YA ESCROW NA RICHMOND IN TOFAUTI GANI, PESA YA BVR ILIYOCHOTWA NA HUYO MAEMBE KWA AJILI YA UCHAGUZI UMEZIONGELEA?? AU HAUPO NCHI HII. Najua utasema ni uongo kwa sababu hakuna kidhibitisho lakini hata ya Lowassa hakuna kidhibitisho. Achana na lugha ya kusema ilisemekana bali jaribu kuweka facts and not opinions.
 
Hoja hapa ni ukweli usiosemwa na Lowassa na wapambe wake hayo ya Membe sijui Escrow..... fungua uzi mwingine tutakuja.

Ninakushangaa wewe na hata mda wa kubishana na mtu asiyekuwa na lugha ya staha sina. nitakuwa nadhalilisha hadhi yangu na utu wangu kwa watanzania wanaotaka kuelimika kupitia mijadala hii. JIJIBU KAMA HUJI ALIYEFUTA AZIMIO LA ARUSHA. TUHUMA YA ESCROW NA RICHMOND IN TOFAUTI GANI, PESA YA BVR ILIYOCHOTWA NA HUYO MAEMBE KWA AJILI YA UCHAGUZI UMEZIONGELEA?? AU HAUPO NCHI HII. Najua utasema ni uongo kwa sababu hakuna kidhibitisho lakini hata ya Lowassa hakuna kidhibitisho. Achana na lugha ya kusema ilisemekana bali jaribu kuweka facts and not opinions.
 
Lowasa hafai sijawahi kuona mtu akitaka urais katika ccm na kupita kila mkoa kumwaga mapesa,amekuja Zanzibar katumwagia million 100 kamwaga kuonga lowasa hafai anafaa kuwa rais wa arusha na sio Rais wa Tz
 
There is no fact at all another blaahhblaaahh...!!!!naona unahangaika kama kuku alie katwa kichwa,anyway nyie mnakomaa na hizi tuhuma za nini ??si mliahdi jina halita pita sasa sisi ccm wengine tulio na card za chama kujumlisha ccm wengine tusio na card,tunasubiri mkate jina tena la lowassa ili 2015 ccm itengeneze historia mpya
 
Poor rhetoric stories za kila siku. Watu mnashambulia kila siku lkn hamna evidence yoyote and you expect us to believe in you? Kweli huko serious with this trash!

Let's be serious guys stori za Abunuwasi humu no!

NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK.
 
Fact ya maandishi au maneno? fact can not be fact without evidence.Sababu hata mimi naweza kuandika nakuongea.
 
Back
Top Bottom